Hivi kwa nini wanawake wafupi asilimia kubwa wanapenda kuolewa na wanaume warefu?

Hivi kwa nini wanawake wafupi asilimia kubwa wanapenda kuolewa na wanaume warefu?

Wanawake hao hudhani na huamini wanaume wafupi wananguvu (mabansa)

1..akiolewa nawewe mfupi Basi atakosa ulinzi na taito fulani hivi (siunajua kwamba neno wameoana vibwego hlitakosekana

2__ huzani wanaume warefu basi Wana maumbile yaa ume kubw nandefu kwani wao vina vyao sihabaa kumbe sikweli

Note; kumbe sikweli siuliona magoti alivopindua meza
Nakaxia namba mbili hapo. Hii Ili thibitishwa na demi wangu moja ambae ni daktari. Huwa anasema kuwa wanaume andunje wana mzigo wa kutosha. Wanawake wenye exipiriensi humu wanaweza kututhibitishia
 
Kunata na beat![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Basi tumekubaliana...kuwa ukikutana na bamiaz yenye pesa na urefu wake utafurahia pesa na urefu, ukikutana na shotie mwenye baraka za maungoni hutawaza urefu wala pesa.
Wacha bhana 🤣🤣🤣
 
Yani wadada hamjui tu ninyi vile wanaume wameumbwa,kimo cha mtu haki determine dushe lake.Waweza kutana na mtu mfupi ukaisomea Kooni huko,na ukakutana na tall hamna kitu.
Mungu fundi sana,kama ilivo kwa wanawake wembamba kuwa na kina kirefuuu huku wanene wakiwa hawana
 
Back
Top Bottom