shushushu_mchokozi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 405
- 265
Habari za leo wapendwa ,mimi leo nimeona nilete hapa dukuduku hili kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema
Watu wamekuwa na majungu tu kila kukicha wao ni kusema tu watu na mbaya zaid wanadiliki hata kwenda kwa mtu kuongea vitu visivyo na ukweli na kuleta matatizo
Hivi hawa watu dawa yao ni nini ?
Watu wamekuwa na majungu tu kila kukicha wao ni kusema tu watu na mbaya zaid wanadiliki hata kwenda kwa mtu kuongea vitu visivyo na ukweli na kuleta matatizo
Hivi hawa watu dawa yao ni nini ?