Hivi kwa nini wenye tabia za sodoma na gomora wana 1,2,3,4......

Hivi kwa nini wenye tabia za sodoma na gomora wana 1,2,3,4......

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Nimebaki kujiuliza yani sehemu au maeneo kuliko shamiri sodoma na gomora ndio kuna pesa sana kuanzia upatikanaji wa kipato mpaka madili.

Sehemu au maeneo hayo ndio yenye maisha ya kutisha sana yani kama ushirikina,masonic na wahalifu ndio wamejaa.

Kuna siku nilipita bar fulani X aisee yani mashoga ndio wanaongoza kuchangamsha bar kuliko kitu chengine.
 
Nimebaki kujiuliza yani sehemu au maeneo kuliko shamiri sodoma na gomora ndio kuna pesa sana kuanzia upatikanaji wa kipato mpaka madili.

Sehemu au maeneo hayo ndio yenye maisha ya kutisha sana yani kama ushirikina,masonic na wahalifu ndio wamejaa.

Kuna siku nilipita bar fulani X aisee yani mashoga ndio wanaongoza kuchangamsha bar kuliko kitu chengine.
Dogo lako hajakwambia sababu?
 
Nimebaki kujiuliza yani sehemu au maeneo kuliko shamiri sodoma na gomora ndio kuna pesa sana kuanzia upatikanaji wa kipato mpaka madili.

Sehemu au maeneo hayo ndio yenye maisha ya kutisha sana yani kama ushirikina,masonic na wahalifu ndio wamejaa.

Kuna siku nilipita bar fulani X aisee yani mashoga ndio wanaongoza kuchangamsha bar kuliko kitu chengine.
Kweli wewe ni kaka yake shetani, Hadi baa za mashoga unazijua,
 
Nimebaki kujiuliza yani sehemu au maeneo kuliko shamiri sodoma na gomora ndio kuna pesa sana kuanzia upatikanaji wa kipato mpaka madili.

Sehemu au maeneo hayo ndio yenye maisha ya kutisha sana yani kama ushirikina,masonic na wahalifu ndio wamejaa.

Kuna siku nilipita bar fulani X aisee yani mashoga ndio wanaongoza kuchangamsha bar kuliko kitu chengine.
Kati ya nchi Saba ambazo ni tajiri zaidi duniani na zenye demokrasia ya kweli, yaani nchi za G7 ni nchi moja tu ambayo bado haijaruhusu ndoa za jinsia moja, nchi zingine zote sita zilizobaki ndoa za jinsia moja zinaruhusiwa na zimehalalishwa rasmi kabisa.

Utafiti wa kina Sana unapaswa kufanyika juu ya suala hili.
 
Kati ya nchi Saba ambazo ni tajiri zaidi duniani na zenye demokrasia ya kweli, yaani nchi za G7 ni nchi moja tu ambayo bado haijaruhusu ndoa za jinsia moja, nchi zingine zote sita zilizobaki ndoa za jinsia moja zinaruhusiwa na zimehalalishwa rasmi kabisa.

Utafiti wa kina Sana unapaswa kufanyika juu ya suala hili.
Nchi gani hiyo...?
 
Nimebaki kujiuliza yani sehemu au maeneo kuliko shamiri sodoma na gomora ndio kuna pesa sana kuanzia upatikanaji wa kipato mpaka madili.

Sehemu au maeneo hayo ndio yenye maisha ya kutisha sana yani kama ushirikina,masonic na wahalifu ndio wamejaa.

Kuna siku nilipita bar fulani X aisee yani mashoga ndio wanaongoza kuchangamsha bar kuliko kitu chengine.
Shoga we....!
 
Nimebaki kujiuliza yani sehemu au maeneo kuliko shamiri sodoma na gomora ndio kuna pesa sana kuanzia upatikanaji wa kipato mpaka madili.

Sehemu au maeneo hayo ndio yenye maisha ya kutisha sana yani kama ushirikina,masonic na wahalifu ndio wamejaa.

Kuna siku nilipita bar fulani X aisee yani mashoga ndio wanaongoza kuchangamsha bar kuliko kitu chengine.
Shetani yupo kazini
 
Nimebaki kujiuliza yani sehemu au maeneo kuliko shamiri sodoma na gomora ndio kuna pesa sana kuanzia upatikanaji wa kipato mpaka madili.

Sehemu au maeneo hayo ndio yenye maisha ya kutisha sana yani kama ushirikina,masonic na wahalifu ndio wamejaa.

Kuna siku nilipita bar fulani X aisee yani mashoga ndio wanaongoza kuchangamsha bar kuliko kitu chengine.
Mwanachama?
 
Back
Top Bottom