Hivi kwa sisi ambao ni wafupi, futi 03 tunaweza pata Mwanamke mrefu akatuelewa?

Hivi kwa sisi ambao ni wafupi, futi 03 tunaweza pata Mwanamke mrefu akatuelewa?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Wakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Dar salama

Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03. Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti kisa Mfupi.

Kuhusu hela anayo sema ndo hivyo mpaka wale mademu wetu wa Bei rahis wa sisi Graduate na wenyewe wamekuwa wakimwachia Manyoya. Kiukweli Hapa Daslama( Dream city) to get a woman it just hard they are looking both sides out-look and money.

Cha Ajabu sisi warefu Futi 06 tumeamua kutulia , Bado tunausoma mchezo nje ya uwanja Bado .
 
Wakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Daslama

Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03

Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti kisa Mfupi .

Kuhusu hela anayo sema ndo hivyo mpaka wale mademu wetu wa Bei rahis wa sisi Graduate na wenyewe wamekuwa wakimwachia Manyoya.



Kiukweli Hapa Daslama( Dream city) to get a woman it just hard they are looking both sides out-look and money.


Cha Ajabu sisi warefu Futi 06 tumeamua kutulia , Bado tunausoma mchezo nje ya uwanja Bado .
Aisee..
Unaongelea ufupi wa mwili au mashine?
 
Aiseeh futi tatu ni mfupi sana na najua hata yeye inamtesa kisakolojia, hapo wanawake ni lazima watamruka tu na hata watakaomkubali ni wale money oriented na hata wao hawatakuwa tayari kutembea nae kwenye halaiki ya watu au kumtambulisha kwa mashoga zao kwa kuhofia kuchekwa.

Mfupi wa wastani atleast awe na futi 5 na point hata 2 au 3.

Mwambie ajikubali, kila mtu aliumbiwa mtuwe atampata tu siku moja.
 
Kiukweli ufupi shida,aisee nakumbuka way back form 4 nilitongoza darasa zima wanawake wote walinikataa,ikabidi nyeto itake over.Ni mpaka mwanamke mmoja alitokea kunielewa na kunionea huruma ndo huyo nipo nae kanizalia katoto.

Your day will come kila mwanadamu ameumbwa kwa mfano wake.Kikubwa jikubali tafuta pesa za kutosha Enjoy life mkuu.
 
Kiukweli ufupi shida,aisee nakumbuka way back form 4 nilitongoza darasa zima wanawake wote walinikataa,ikabidi nyeto itake over.Ni mpaka mwanamke mmoja alitokea kunielewa na kunionea huruma ndo huyo nipo nae kanizalia katoto.

Your day will come kila mwanadamu ameumbwa kwa mfano wake.Kikubwa jikubali tafuta pesa za kutosha Enjoy life mkuu.
Hmmmh mkuu kwani una futi ngapi?
 
Futi3 hicho ni kipwinto lazima kiwe na vipingiri mwilini dawa ni kuwa na pesa tu..anaweza bebwa hata mgongoni na kanga kama mtoto vile na kubembelezwa juu mpaka analala.
 
Wakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Daslama

Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03

Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti kisa Mfupi .

Kuhusu hela anayo sema ndo hivyo mpaka wale mademu wetu wa Bei rahis wa sisi Graduate na wenyewe wamekuwa wakimwachia Manyoya.



Kiukweli Hapa Daslama( Dream city) to get a woman it just hard they are looking both sides out-look and money.


Cha Ajabu sisi warefu Futi 06 tumeamua kutulia , Bado tunausoma mchezo nje ya uwanja Bado .
Futi 3 mzeeya huyo sii mbilikimo
 
Back
Top Bottom