Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
[emoji23][emoji23]Kama kuna mtu ana mashine ya kufikia urefu wa futi 3, basi ajitengenezee mwanamke wa kutomb pekeake[emoji1].
Bila shaka jamaa anazungumzia kimo cha mwili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Kama kuna mtu ana mashine ya kufikia urefu wa futi 3, basi ajitengenezee mwanamke wa kutomb pekeake[emoji1].
Bila shaka jamaa anazungumzia kimo cha mwili.
Unapungukiwa Nini ukijatambulisha kuwa ni wewe ndio mwenye hicho kimo, kuliko kumsingizia rafiki Yako?Wakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Daslama
Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03
Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti kisa Mfupi .
Kuhusu hela anayo sema ndo hivyo mpaka wale mademu wetu wa Bei rahis wa sisi Graduate na wenyewe wamekuwa wakimwachia Manyoya.
Kiukweli Hapa Daslama( Dream city) to get a woman it just hard they are looking both sides out-look and money.
Cha Ajabu sisi warefu Futi 06 tumeamua kutulia , Bado tunausoma mchezo nje ya uwanja Bado .
Kumkuta first year mwenye futi 3 ni kazi sana aiseeh, kwa hicho kimo mwanafunzi anakuwa la tano huko au formone.Duh akubaliane tu na hali asee ..au atongoze vi first year huko
Kumkuta first year mwenye futi 3 ni kazi sana aiseeh, kwa hicho kimo mwanafunzi anakuwa la tano huko au formone.
Hata akitongoza la tano bado huyo mtoto atakuwa na kurefuka zaidi yake siku moja na hivyo atamadump tu.Ko unamshauri atongoze drs la tano
Ulishanunua Kitanda na Godoro used kijana mwenye Degree Moja??tuanzie hapo kwanzaWakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Dar salama
Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03. Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti kisa Mfupi.
Kuhusu hela anayo sema ndo hivyo mpaka wale mademu wetu wa Bei rahis wa sisi Graduate na wenyewe wamekuwa wakimwachia Manyoya. Kiukweli Hapa Daslama( Dream city) to get a woman it just hard they are looking both sides out-look and money.
Cha Ajabu sisi warefu Futi 06 tumeamua kutulia , Bado tunausoma mchezo nje ya uwanja Bado .
Ndo mm mkuu nipe hintsNimeanza kukutilia mashaka mwenye hicho kimo si rafiki yako ni wewe mkuu sema ukweli upate ushauri utakao kusaidia
Huyo jamaa mfupi anae-Dampiwa ni wewe, usisingizie rafiki zakoWakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Dar salama
Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03. Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti kisa Mfupi.
Kuhusu hela anayo sema ndo hivyo mpaka wale mademu wetu wa Bei rahis wa sisi Graduate na wenyewe wamekuwa wakimwachia Manyoya. Kiukweli Hapa Daslama( Dream city) to get a woman it just hard they are looking both sides out-look and money.
Cha Ajabu sisi warefu Futi 06 tumeamua kutulia , Bado tunausoma mchezo nje ya uwanja Bado .
Mbona una maneno makali ivy Mimi na mtoa mada hatujajiumba hivi ujueKila mbuz na ale urefu wa kamba yake, waft 3 ale waft 3 mwenzie.
Ww mbuz wataka kula majani ayalayo twiga.........
S kwa ubaya jaman, nmeongea kwa wema. Sema tu maneno yangu yamekufikia kwa ukali 😊😊😊.Mbona una maneno makali ivy Mimi na mtoa mada hatujajiumba hivi ujue
Pole yakeWakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Dar salama
Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03. Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti kisa Mfupi.
Kuhusu hela anayo sema ndo hivyo mpaka wale mademu wetu wa Bei rahis wa sisi Graduate na wenyewe wamekuwa wakimwachia Manyoya. Kiukweli Hapa Daslama( Dream city) to get a woman it just hard they are looking both sides out-look and money.
Cha Ajabu sisi warefu Futi 06 tumeamua kutulia , Bado tunausoma mchezo nje ya uwanja Bado .
Pole yako 🤣Kiukweli ufupi shida,aisee nakumbuka way back form 4 nilitongoza darasa zima wanawake wote walinikataa,ikabidi nyeto itake over.Ni mpaka mwanamke mmoja alitokea kunielewa na kunionea huruma ndo huyo nipo nae kanizalia katoto.
Your day will come kila mwanadamu ameumbwa kwa mfano wake.Kikubwa jikubali tafuta pesa za kutosha Enjoy life mkuu.