Hivi kwa sisi ambao ni wafupi, futi 03 tunaweza pata Mwanamke mrefu akatuelewa?

Hivi kwa sisi ambao ni wafupi, futi 03 tunaweza pata Mwanamke mrefu akatuelewa?

Wakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Daslama

Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03

Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti kisa Mfupi .

Kuhusu hela anayo sema ndo hivyo mpaka wale mademu wetu wa Bei rahis wa sisi Graduate na wenyewe wamekuwa wakimwachia Manyoya.



Kiukweli Hapa Daslama( Dream city) to get a woman it just hard they are looking both sides out-look and money.


Cha Ajabu sisi warefu Futi 06 tumeamua kutulia , Bado tunausoma mchezo nje ya uwanja Bado .
Unapungukiwa Nini ukijatambulisha kuwa ni wewe ndio mwenye hicho kimo, kuliko kumsingizia rafiki Yako?

Utashindwa kupata ushauri sahihi
 
Duh akubaliane tu na hali asee ..au atongoze vi first year huko
 
Kila mbuz na ale urefu wa kamba yake, waft 3 ale waft 3 mwenzie.

Ww mbuz wataka kula majani ayalayo twiga.........
 
Wakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Dar salama

Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03. Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti kisa Mfupi.

Kuhusu hela anayo sema ndo hivyo mpaka wale mademu wetu wa Bei rahis wa sisi Graduate na wenyewe wamekuwa wakimwachia Manyoya. Kiukweli Hapa Daslama( Dream city) to get a woman it just hard they are looking both sides out-look and money.

Cha Ajabu sisi warefu Futi 06 tumeamua kutulia , Bado tunausoma mchezo nje ya uwanja Bado .
Ulishanunua Kitanda na Godoro used kijana mwenye Degree Moja??tuanzie hapo kwanza
 
Nimeanza kukutilia mashaka mwenye hicho kimo si rafiki yako ni wewe mkuu sema ukweli upate ushauri utakao kusaidia
 
Wakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Dar salama

Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03. Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti kisa Mfupi.

Kuhusu hela anayo sema ndo hivyo mpaka wale mademu wetu wa Bei rahis wa sisi Graduate na wenyewe wamekuwa wakimwachia Manyoya. Kiukweli Hapa Daslama( Dream city) to get a woman it just hard they are looking both sides out-look and money.

Cha Ajabu sisi warefu Futi 06 tumeamua kutulia , Bado tunausoma mchezo nje ya uwanja Bado .
Huyo jamaa mfupi anae-Dampiwa ni wewe, usisingizie rafiki zako
 
Dah pole saana mkuu kwa kimo icho si dhani kama utapata mke ila Mimi sio Mungu maybe tunaweza kusema upati cha ajabu Mungu anakupa amisa mobeto

Na ushhauri wangu kwako tu wabure kwasababu kwa macho yetu ya ubinadamu kupata mke kwa kimo icho it's impossible
Tafuta pesa au ushirikana yaani dawa za mapenzi

Ila wewe sio mtukufu Kweli Yule Jamaa mcheza comedy Nina mashaka Na wewe
 
Mbona una maneno makali ivy Mimi na mtoa mada hatujajiumba hivi ujue
S kwa ubaya jaman, nmeongea kwa wema. Sema tu maneno yangu yamekufikia kwa ukali 😊😊😊.

Me mwenyewe n kashotiii sema n vle n wakike, lkn nngekuwa wakiume saa hii ningekuwa naanzsha nyuzi za kuhitaj miongozooo.
 
Wakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Dar salama

Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03. Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti kisa Mfupi.

Kuhusu hela anayo sema ndo hivyo mpaka wale mademu wetu wa Bei rahis wa sisi Graduate na wenyewe wamekuwa wakimwachia Manyoya. Kiukweli Hapa Daslama( Dream city) to get a woman it just hard they are looking both sides out-look and money.

Cha Ajabu sisi warefu Futi 06 tumeamua kutulia , Bado tunausoma mchezo nje ya uwanja Bado .
Pole yake
 
Kiukweli ufupi shida,aisee nakumbuka way back form 4 nilitongoza darasa zima wanawake wote walinikataa,ikabidi nyeto itake over.Ni mpaka mwanamke mmoja alitokea kunielewa na kunionea huruma ndo huyo nipo nae kanizalia katoto.

Your day will come kila mwanadamu ameumbwa kwa mfano wake.Kikubwa jikubali tafuta pesa za kutosha Enjoy life mkuu.
Pole yako 🤣
 
Back
Top Bottom