Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Mimi ni Mwana CCM lakini wakati mwingine naona hadi aibu nikiwa na Watu wenye akili around!
Kwanza Hongera sana Comrade Balozi Dr.Emmanuel Nchimbi kwa press uliyofanya hivi karibuni!
Nimekubali kwamba ni kweli umekomaa na uliandaliwa vizuri ndani ya CCM kupitia UVCCM!
Hayati Mkapa aliona kitu kwako ndo maana alipendekeza ukaongeze elimu!
Ni dhahiri UVCCM yako haikuwa kama hii UVCCM ya Uchawa ya akina Kawaida!
Reasoning yako iko juu sana na sidhani kama utadumu hapo kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM!
Mfano, uliposema " Sisi si matofali lazima tutofautieni " na huo ndo msingi wa maendeleo na uko tayari kumsikiliza vizuri unayetofautiana naye na uko tayari pia kumfuata kama ana hoja nzuri kuliko yako!
Wakati wa victory speech ya Barack Obama 2008 kuna sehemu aliseme hivi; " Americans I will always listen to you, especially when we disagree" ! Hao ndo great minds na siyo hawa wetu wa kutwa kuwasikiliza machawa wasifiaji tu!
Tuseme ukweli ,reasoning hiyo kwa CCM yetu hii ya MACHAWA ni nadra sana kuipata!
Turudi kwenye hoja, Kuna Clip iko mitandaoni Sativa ( Muhanga wa Utekaji na Mauaji) anamtaja kabisa ACP Faustine Mafwele kama mtu aliyemteka na kutaka kumuua!! Jeshi la Polisi , Viongozi wa Serikali kimya !!!
Je, utendaji wa Mafwele ndo standard ya utendaji wa Jeshi la Polisi?!
Badala yake Polisi kwa mbwembwe wanakimbilia kumkamata na kumpekua Boni Yai!
Kweli CCM tumekubali kuendeshwa na watu wenye maarifa na upeo wa chini kiasi hiki!?
Rais Samia unadanganywa na zero brains , soon utaona jinsi approval rating yako miongoni mwa Watanzania itakavyokuwa chini kuliko Rais yeyote aliyewahi kupitia hapa JMT!
Kwa rafiki yangu Profesa Kitila Mkumbo , wanachofanya Polisi ni kumjenga Boni Yai , atachukua Jimbo la Ubungo asubuhi na mapema kabla ya misa ya kwanza comes 2025, kuwa macho ( "be eyes")!
Kwanza Hongera sana Comrade Balozi Dr.Emmanuel Nchimbi kwa press uliyofanya hivi karibuni!
Nimekubali kwamba ni kweli umekomaa na uliandaliwa vizuri ndani ya CCM kupitia UVCCM!
Hayati Mkapa aliona kitu kwako ndo maana alipendekeza ukaongeze elimu!
Ni dhahiri UVCCM yako haikuwa kama hii UVCCM ya Uchawa ya akina Kawaida!
Reasoning yako iko juu sana na sidhani kama utadumu hapo kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM!
Mfano, uliposema " Sisi si matofali lazima tutofautieni " na huo ndo msingi wa maendeleo na uko tayari kumsikiliza vizuri unayetofautiana naye na uko tayari pia kumfuata kama ana hoja nzuri kuliko yako!
Wakati wa victory speech ya Barack Obama 2008 kuna sehemu aliseme hivi; " Americans I will always listen to you, especially when we disagree" ! Hao ndo great minds na siyo hawa wetu wa kutwa kuwasikiliza machawa wasifiaji tu!
Tuseme ukweli ,reasoning hiyo kwa CCM yetu hii ya MACHAWA ni nadra sana kuipata!
Turudi kwenye hoja, Kuna Clip iko mitandaoni Sativa ( Muhanga wa Utekaji na Mauaji) anamtaja kabisa ACP Faustine Mafwele kama mtu aliyemteka na kutaka kumuua!! Jeshi la Polisi , Viongozi wa Serikali kimya !!!
Je, utendaji wa Mafwele ndo standard ya utendaji wa Jeshi la Polisi?!
Badala yake Polisi kwa mbwembwe wanakimbilia kumkamata na kumpekua Boni Yai!
Kweli CCM tumekubali kuendeshwa na watu wenye maarifa na upeo wa chini kiasi hiki!?
Rais Samia unadanganywa na zero brains , soon utaona jinsi approval rating yako miongoni mwa Watanzania itakavyokuwa chini kuliko Rais yeyote aliyewahi kupitia hapa JMT!
Kwa rafiki yangu Profesa Kitila Mkumbo , wanachofanya Polisi ni kumjenga Boni Yai , atachukua Jimbo la Ubungo asubuhi na mapema kabla ya misa ya kwanza comes 2025, kuwa macho ( "be eyes")!