Hivi kwa tuhuma za Boni Yai na tuhuma za ACP Faustine Mafwele nani anastahili kufuatwa kwa mitutu na mbwembwe za Polisi?!

Hivi kwa tuhuma za Boni Yai na tuhuma za ACP Faustine Mafwele nani anastahili kufuatwa kwa mitutu na mbwembwe za Polisi?!

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
1,770
Reaction score
5,423
Mimi ni Mwana CCM lakini wakati mwingine naona hadi aibu nikiwa na Watu wenye akili around!

Kwanza Hongera sana Comrade Balozi Dr.Emmanuel Nchimbi kwa press uliyofanya hivi karibuni!

Nimekubali kwamba ni kweli umekomaa na uliandaliwa vizuri ndani ya CCM kupitia UVCCM!

Hayati Mkapa aliona kitu kwako ndo maana alipendekeza ukaongeze elimu!

Ni dhahiri UVCCM yako haikuwa kama hii UVCCM ya Uchawa ya akina Kawaida!

Reasoning yako iko juu sana na sidhani kama utadumu hapo kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM!

Mfano, uliposema " Sisi si matofali lazima tutofautieni " na huo ndo msingi wa maendeleo na uko tayari kumsikiliza vizuri unayetofautiana naye na uko tayari pia kumfuata kama ana hoja nzuri kuliko yako!
Wakati wa victory speech ya Barack Obama 2008 kuna sehemu aliseme hivi; " Americans I will always listen to you, especially when we disagree" ! Hao ndo great minds na siyo hawa wetu wa kutwa kuwasikiliza machawa wasifiaji tu!

Tuseme ukweli ,reasoning hiyo kwa CCM yetu hii ya MACHAWA ni nadra sana kuipata!

Turudi kwenye hoja, Kuna Clip iko mitandaoni Sativa ( Muhanga wa Utekaji na Mauaji) anamtaja kabisa ACP Faustine Mafwele kama mtu aliyemteka na kutaka kumuua!! Jeshi la Polisi , Viongozi wa Serikali kimya !!!

Je, utendaji wa Mafwele ndo standard ya utendaji wa Jeshi la Polisi?!

Badala yake Polisi kwa mbwembwe wanakimbilia kumkamata na kumpekua Boni Yai!

Kweli CCM tumekubali kuendeshwa na watu wenye maarifa na upeo wa chini kiasi hiki!?

Rais Samia unadanganywa na zero brains , soon utaona jinsi approval rating yako miongoni mwa Watanzania itakavyokuwa chini kuliko Rais yeyote aliyewahi kupitia hapa JMT!

Kwa rafiki yangu Profesa Kitila Mkumbo , wanachofanya Polisi ni kumjenga Boni Yai , atachukua Jimbo la Ubungo asubuhi na mapema kabla ya misa ya kwanza comes 2025, kuwa macho ( "be eyes")!
 
Usiangaike sana mkuu..ukionja damu ya mtu huwezi kubaki salama.

Ukimwangalia huyu mama..amejawa na stress sana. Hana amani kinachompatia hofu ni uchaguzi.
akina mafwele wanatumika tu kama Tp. Maelekezo yote anaotoa huyo maza.

Aombe sana Mungu ampatie hekima ya uongozi.
Ni laana kubwa sana kuua! Imeandikwa USIUE..
 
Mimi ni Mwana CCM lakini wakati mwingine naona hadi aibu nikiwa na Watu wenye akili around!

Kwanza Hongera sana Comrade Balozi Dr.Emmanuel Nchimbi kwa press uliyofanya hivi karibuni!

Nimekubali kwamba ni kweli umekomaa na uliandaliwa vizuri ndani ya CCM kupitia UVCCM!

Hayati Mkapa aliona kitu kwako ndo maana alipendekeza ukaongeze elimu!

Ni dhahiri UVCCM yako haikuwa kama hii UVCCM ya Uchawa ya akina Kawaida!

Reasoning yako iko juu sana na sidhani kama utadumu hapo kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM!

Mfano, uliposema " Sisi si matofali lazima tutofautieni " na huo ndo msingi wa maendeleo na uko tayari kumsikiliza vizuri unayetofautiana naye na uko tayari pia kumfuata kama ana hoja nzuri kuliko yako!
Wakati wa victory speech ya Barack Obama 2008 kuna sehemu aliseme hivi; " Americans I will always listen to you, especially when we disagree" ! Hao ndo great minds na siyo hawa wetu wa kutwa kuwasikiliza machawa wasifiaji tu!

Tuseme ukweli ,reasoning hiyo kwa CCM yetu hii ya MACHAWA ni nadra sana kuipata!

Turudi kwenye hoja, Kuna Clip iko mitandaoni Sativa ( Muhanga wa Utekaji na Mauaji) anamtaja kabisa ACP Faustine Mafwele kama mtu aliyemteka na kutaka kumuua!! Jeshi la Polisi , Viongozi wa Serikali kimya !!!

Je, utendaji wa Mafwele ndo standard ya utendaji wa Jeshi la Polisi?!

Badala yake Polisi kwa mbwembwe wanakimbilia kumkamata na kumpekua Boni Yai!

Kweli CCM tumekubali kuendeshwa na watu wenye maarifa na upeo wa chini kiasi hiki!?

Rais Samia unadanganywa na zero brains , soon utaona jinsi approval rating yako miongoni mwa Watanzania itakavyokuwa chini kuliko Rais yeyote aliyewahi kupitia hapa JMT!

Kwa rafiki yangu Profesa Kitila Mkumbo , wanachofanya Polisi ni kumjenga Boni Yai , atachukua Jimbo la Ubungo asubuhi na mapema kabla ya misa ya kwanza comes 2025, kuwa macho ( "be eyes")!
Wewe siyo CCM, coz wana CCM hawana uwezo wa kuyajua, kukosoa na kukemea mabaya yanayofanywa na wana CCM wenzao.

Saivi ni kama vile ukiwa CCM unakuwa na kibali moja kwa moja cha kufanya mabaya na usifanywe chochote.
 
Hao division IV waliopewa silaha wangekuwa wanawapekua wale wezi wanaotajw na CAG kama walivyofanya jana nchi ingekuwa mbali sana.
 
Wewe siyo CCM, coz wana CCM hawana uwezo wa kuyajua, kukosoa na kukemea mabaya yanayofanywa na wana CCM wenzao.

Saivi ni kama vile ukiwa CCM unakuwa na kibali moja kwa moja cha kufanya mabaya na usifanywe chochote.
Sio kweli
Wapo wenye uwezo wa kukosoa na kushauri ila platform ya kukosoa ipo? Wamebaki kushauri kimoyo moyo tu ila mpera mpera huu 2025 ni hatari
 
Mimi ni Mwana CCM lakini wakati mwingine naona hadi aibu nikiwa na Watu wenye akili around!

Kwanza Hongera sana Comrade Balozi Dr.Emmanuel Nchimbi kwa press uliyofanya hivi karibuni!

Nimekubali kwamba ni kweli umekomaa na uliandaliwa vizuri ndani ya CCM kupitia UVCCM!

Hayati Mkapa aliona kitu kwako ndo maana alipendekeza ukaongeze elimu!

Ni dhahiri UVCCM yako haikuwa kama hii UVCCM ya Uchawa ya akina Kawaida!

Reasoning yako iko juu sana na sidhani kama utadumu hapo kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM!

Mfano, uliposema " Sisi si matofali lazima tutofautieni " na huo ndo msingi wa maendeleo na uko tayari kumsikiliza vizuri unayetofautiana naye na uko tayari pia kumfuata kama ana hoja nzuri kuliko yako!
Wakati wa victory speech ya Barack Obama 2008 kuna sehemu aliseme hivi; " Americans I will always listen to you, especially when we disagree" ! Hao ndo great minds na siyo hawa wetu wa kutwa kuwasikiliza machawa wasifiaji tu!

Tuseme ukweli ,reasoning hiyo kwa CCM yetu hii ya MACHAWA ni nadra sana kuipata!

Turudi kwenye hoja, Kuna Clip iko mitandaoni Sativa ( Muhanga wa Utekaji na Mauaji) anamtaja kabisa ACP Faustine Mafwele kama mtu aliyemteka na kutaka kumuua!! Jeshi la Polisi , Viongozi wa Serikali kimya !!!

Je, utendaji wa Mafwele ndo standard ya utendaji wa Jeshi la Polisi?!

Badala yake Polisi kwa mbwembwe wanakimbilia kumkamata na kumpekua Boni Yai!

Kweli CCM tumekubali kuendeshwa na watu wenye maarifa na upeo wa chini kiasi hiki!?

Rais Samia unadanganywa na zero brains , soon utaona jinsi approval rating yako miongoni mwa Watanzania itakavyokuwa chini kuliko Rais yeyote aliyewahi kupitia hapa JMT!

Kwa rafiki yangu Profesa Kitila Mkumbo , wanachofanya Polisi ni kumjenga Boni Yai , atachukua Jimbo la Ubungo asubuhi na mapema kabla ya misa ya kwanza comes 2025, kuwa macho ( "be eyes")!
Mafwele alikuwa anatekeleza majukumu Boni mvunjiwa yai alikuwa anatekeleza nini ,alitumwa na jamhuri


USSR
 
Mimi ni Mwana CCM lakini wakati mwingine naona hadi aibu nikiwa na Watu wenye akili around!

Kwanza Hongera sana Comrade Balozi Dr.Emmanuel Nchimbi kwa press uliyofanya hivi karibuni!

Nimekubali kwamba ni kweli umekomaa na uliandaliwa vizuri ndani ya CCM kupitia UVCCM!

Hayati Mkapa aliona kitu kwako ndo maana alipendekeza ukaongeze elimu!

Ni dhahiri UVCCM yako haikuwa kama hii UVCCM ya Uchawa ya akina Kawaida!

Reasoning yako iko juu sana na sidhani kama utadumu hapo kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM!

Mfano, uliposema " Sisi si matofali lazima tutofautieni " na huo ndo msingi wa maendeleo na uko tayari kumsikiliza vizuri unayetofautiana naye na uko tayari pia kumfuata kama ana hoja nzuri kuliko yako!
Wakati wa victory speech ya Barack Obama 2008 kuna sehemu aliseme hivi; " Americans I will always listen to you, especially when we disagree" ! Hao ndo great minds na siyo hawa wetu wa kutwa kuwasikiliza machawa wasifiaji tu!

Tuseme ukweli ,reasoning hiyo kwa CCM yetu hii ya MACHAWA ni nadra sana kuipata!

Turudi kwenye hoja, Kuna Clip iko mitandaoni Sativa ( Muhanga wa Utekaji na Mauaji) anamtaja kabisa ACP Faustine Mafwele kama mtu aliyemteka na kutaka kumuua!! Jeshi la Polisi , Viongozi wa Serikali kimya !!!

Je, utendaji wa Mafwele ndo standard ya utendaji wa Jeshi la Polisi?!

Badala yake Polisi kwa mbwembwe wanakimbilia kumkamata na kumpekua Boni Yai!

Kweli CCM tumekubali kuendeshwa na watu wenye maarifa na upeo wa chini kiasi hiki!?

Rais Samia unadanganywa na zero brains , soon utaona jinsi approval rating yako miongoni mwa Watanzania itakavyokuwa chini kuliko Rais yeyote aliyewahi kupitia hapa JMT!

Kwa rafiki yangu Profesa Kitila Mkumbo , wanachofanya Polisi ni kumjenga Boni Yai , atachukua Jimbo la Ubungo asubuhi na mapema kabla ya misa ya kwanza comes 2025, kuwa macho ( "be eyes")!

Wakili Kibatala akieleza mashtaka ya Boniface Jacob...

Unajua polisi ni wa ajabu sana? Kwenye hati yao ya mashitaka, wamemwingiza huyo kiongozi wa watekaji "Mafwele" which means anaweza kuitwa mahakamani sambamba na shahidi Sativa na hivyo kuwa exposed...
 
Wakili Kibatala akieleza mashtaka ya Boniface Jacob...

Unajua polisi ni wa ajabu sana? Kwenye hati yao ya mashitaka, wamemwingiza huyo kiongozi wa watekaji "Mafwele" which means anaweza kuitwa mahakamani sambamba na shahidi Sativa na hivyo kuwa exposed...
View attachment 3100714
Na akijitokeza tu ataongeza idadi ya maadui hata akishinda kesi ila hatakuwa sawa mtaani
 
Mimi ni Mwana CCM lakini wakati mwingine naona hadi aibu nikiwa na Watu wenye akili around!

Kwanza Hongera sana Comrade Balozi Dr.Emmanuel Nchimbi kwa press uliyofanya hivi karibuni!

Nimekubali kwamba ni kweli umekomaa na uliandaliwa vizuri ndani ya CCM kupitia UVCCM!

Hayati Mkapa aliona kitu kwako ndo maana alipendekeza ukaongeze elimu!

Ni dhahiri UVCCM yako haikuwa kama hii UVCCM ya Uchawa ya akina Kawaida!

Reasoning yako iko juu sana na sidhani kama utadumu hapo kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM!

Mfano, uliposema " Sisi si matofali lazima tutofautieni " na huo ndo msingi wa maendeleo na uko tayari kumsikiliza vizuri unayetofautiana naye na uko tayari pia kumfuata kama ana hoja nzuri kuliko yako!
Wakati wa victory speech ya Barack Obama 2008 kuna sehemu aliseme hivi; " Americans I will always listen to you, especially when we disagree" ! Hao ndo great minds na siyo hawa wetu wa kutwa kuwasikiliza machawa wasifiaji tu!

Tuseme ukweli ,reasoning hiyo kwa CCM yetu hii ya MACHAWA ni nadra sana kuipata!

Turudi kwenye hoja, Kuna Clip iko mitandaoni Sativa ( Muhanga wa Utekaji na Mauaji) anamtaja kabisa ACP Faustine Mafwele kama mtu aliyemteka na kutaka kumuua!! Jeshi la Polisi , Viongozi wa Serikali kimya !!!

Je, utendaji wa Mafwele ndo standard ya utendaji wa Jeshi la Polisi?!

Badala yake Polisi kwa mbwembwe wanakimbilia kumkamata na kumpekua Boni Yai!

Kweli CCM tumekubali kuendeshwa na watu wenye maarifa na upeo wa chini kiasi hiki!?

Rais Samia unadanganywa na zero brains , soon utaona jinsi approval rating yako miongoni mwa Watanzania itakavyokuwa chini kuliko Rais yeyote aliyewahi kupitia hapa JMT!

Kwa rafiki yangu Profesa Kitila Mkumbo , wanachofanya Polisi ni kumjenga Boni Yai , atachukua Jimbo la Ubungo asubuhi na mapema kabla ya misa ya kwanza comes 2025, kuwa macho ( "be eyes")!
#UpdstesKisutu

WAKILI WA JAMHURI: Mheshimiwa tuna maombi mawili mbele ya Mahakama yako tukufu. La kwanza tunaomba Mahakama kumpa AMRI Boniface atoe Password yake ya mtandao wa X (Twitter) ili kukamilisha upelelezi.

WAKILI WA JAMHURI: Law enforcement Officers wanashikilia simu mbili za Boniface aina ya Samsung. RCO Msangi alipomtaka atoe Password alikataa, hivyo upelelezi ulikwama. Kwahiyo tunaomba mahakama kutoa AMRI ya kumlazimisha Boniface atoe password ili kukamilisha upelelezi.

WAKILI WA JAMHURI: Mhe.Hakimu tunaomba upande wa utetezi watujibu ili tuwasilishe maombi ya pili.

HAKIMU: Upande wa utetezi mnajibu moja moja au wamalizie zote?

WAKILI KIBATALA: Wawakilishe zote Mheshimiwa.

HAKIMU: Jamhuri endeleeni.

WAKILI WA JAMHURI: Ombi la pili, tunaomba Mtuhumiwa asipewe dhamana mpaka hali itakapokuwa nzuri, ili asitekwe au kuuliwa kwani alisema yupo kwenye danger. Natambua dhamana ni haki yake ila alimwambia RCO Msangi kuwa yupo kwenye risk ya kutekwa na kuuawa. Hivyo tunaomba asipewe dhamana kwa usalama wake.

HAKIMU: Upande wa utetezi mpo tayari?

WAKILI KIBATALA: Ndio Mheshimiwa Hakimu.

WAKILI KIBATALA: Sheria inasema (anataja vifungu) OCS ndiye anayeruhusiwa kutazama simu ya Mtuhumiwa na si RCO. Kwanini RCO Msangi alitaka simu ya Boniface wakati OCS alikuwepo?

Pia sheria inasema (anataja vifungu) anayepaswa kuleta maombi ya password Mahakamani ni Polisi sio Jamhuri. Mpaka sasa Polisi hawajaleta maombi yoyote mahakamani. Na hii inadhihirisha hawana shida na password ya Boniface. Sasa nyie Jamhuri mnataka password kwa sheria ipi?

WAKILI KIBATALA: Pia hii Application haina kifungu chochote cha sheria, haina individual Callander wala criminal case number. Mheshimiwa Hakimu; Hawa wanataka Mahakama yako itoe Amri wakati application yao haina hata case number? Watu watakushangaa Mheshimiwa. Pia affidavit yao inasema simu ni Samsung. Lakini ni Samsung gani, yenye IMEI number? Line gani za simu? Mheshimiwa Hakimu naomba utupilie mbali maombi ya Jamhu
FB_IMG_1726785701411.jpg
ri.!

INAENDELEA......
 
Back
Top Bottom