Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
HahaaUmeongea kiuzoefu hatarii..!!! Hapo kwenye hali tete, unaweza ukafikia ile plastic limit, hakuna kurudia origal dhape.. Unaibeba aibu nzima nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaUmeongea kiuzoefu hatarii..!!! Hapo kwenye hali tete, unaweza ukafikia ile plastic limit, hakuna kurudia origal dhape.. Unaibeba aibu nzima nzima
Badili kwanza hiyo avatarHivi mnatumia vigezo gn kujipatia warembo humu?
Mimi kila nikiingia pm nakula block.
Au wanadhani avatar ndy picha yangu halisi ?
HahahahaHaya sasa kumekucha tayari
Kwema, nimekaona kauchoziHahahaha
Najaribu kuchokoza tu mkuu
Kwema Boss
Umeona jinsi avatar ilivyo na nguvu?Badili kwanza hiyo avatar
Avatar ya yule jamaa wa kwenye predatorHivi mnatumia vigezo gn kujipatia warembo humu?
Mimi kila nikiingia pm nakula block.
Au wanadhani avatar ndy picha yangu halisi ?
Mnavutika na picha kumbe kiuhalisia haipo hivyo [emoji23]Yaani ukianza kuimajini amekuviringisha na guu lile, UNAJTOSA MZIMA MZIMA, huku ukisema liwalo na liwe
Hiyo avatar nikikutana nayo PM hata kujibu najifikiria mara mbili mbili[emoji3][emoji3]Umeona jinsi avatar ilivyo na nguvu?
Ngoja nijongee piemuni kwakoUnajilipua tu ukiona hali tete unahamia kwingine hahaa
Kwenu labda mie wala [emoji23]Umeona jinsi avatar ilivyo na nguvu?
Mie tutachat hapa hapa kule nimefungaNgoja nijongee piemuni kwako
Sasa kama warembo wenyewe anaowaongelea mtoa mada ni nyie, mnapataje wapenzi humu jukwaani?Mie tutachat hapa hapa kule nimefunga
Sio wote wamefunga pm wengne zipo waziSasa kama warembo wenyewe anaowaongelea mtoa mada ni nyie, mnapataje wapenzi humu jukwaani?
Ah we sikumiss hataNimiss na mimi basiiiii
😂😂😂😂😂Mnavutika na picha kumbe kiuhalisia haipo hivyo [emoji23]
Labda wanadhani Mimi ndy yule jamaa.Avatar ya yule jamaa wa kwenye predator
[emoji23][emoji23] Ni kujilipua tuKwani inakuaje mpaka unapata demu humu?
Roho mbaya tu..!! Warembo hawawagi na roho mbaya kwa taarifa yako.. Hasa wenye urembu kama wakoAh we sikumiss hata