Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Jeshi la polisiMkuu ii sio Facebook funguka jeshi gani ID inakubeba
Mkuu asaivi jeshi la polisi kila mtu anang'ang'ania akosome awe trafk kituoni hakuna watu hata mwenye nyota tatu unamkuta bara barani na ma OCD wanashinda umo umo lodJeshi la polisi
Ni rushwa kwenda mbele.Mkuu asaivi jeshi la polisi kila mtu anang'ang'ania akosome awe trafk kituoni hakuna watu hata mwenye nyota tatu unamkuta bara barani na ma OCD wanashinda umo umo lod
Wa Kange, Pande au Mapana?Kuna mlevi mmoja hivi alistaafuu maeneo ya Tanga-
Anaishi kitu kama pongwe hv.
Aisee yule jamaa anatia aibuuuu
Mitaaa hiyo hiyo.Wa Kange, Pande au Mapana?
Pole saana mkuu inaweza kuwa ndio sababuWengi wanalaaana sana...nmewahi kuibiwa milion 1.8 na polis wa usku
Noma sanaMitaaa hiyo hiyo.
Nafikiri UkiSoma kwakutulia amelitaja hapo mwishoni bila kujuaMkuu ii sio Facebook funguka jeshi gani ID inakubeba
Laana.Ukiachana na hivyo ,swali langu kwa nn hawa polisi karibia wote ni walevi haijalishi wametokea wapi .
Hata style yao ya kunyoa inafanana na kukuta bars zao bia bei chee ni kawaida sana ....Wengi walevi kwa kweli kuna jamaa alikuwa safi kaenda kuchukua mafunzo kaajiriwa eti kashakuwa mlevi.
Wanasumbuliwa na kasumba ya kuiganaUkiachana na hivyo ,swali langu kwa nn hawa polisi karibia wote ni walevi haijalishi wametokea wapi .
Hata style yao ya kunyoa inafanana na kukuta bars zao bia bei chee ni kawaida sana ....Wengi walevi kwa kweli kuna jamaa alikuwa safi kaenda kuchukua mafunzo kaajiriwa eti kashakuwa mlevi.
Majeshi yako mengi mkuu,,ππππNafikiri UkiSoma kwakutulia amelitaja hapo mwishoni bila kujua
Sio laana wala nini, ni hivi hela ya kuipata bure kwa miaka 30 ukiamka tu ni maokoto ghafla unastaafu maokoto yanakata nakutokana na nature ya kazi yao kuhamishwa kila siku mara mkoa huu inakuwa ngumu kuwa na biashara au alternative chanel ya helaHabari wanjf. Jamani nmeexperience baadhi ya Askari wa Jeshi fulani wakistaafu wanakua na Maisha fulani tofauti kabisa na vile walivyokuwa katika utumishi. Maana ni wazi kuwa serikali yetu inajari Sana Askari wake. Sasa je Nini kinawafanya waishie kwenye pombe na ulinzi baada ya kustaafu. Inakuwa na akili zao zimechoka na kazi ngumu? Wengi utaskia wakijisifia baada ya kulewa nilvyokuwa jeshini, sikuwa na masihara.Hili likoje na Nini kinawakuta kwa wastaafu. Karibu kwa mjadala.
Fact mkuuSio laana wala nini, ni hivi hela ya kuipata bure kwa miaka 30 ukiamka tu ni maokoto ghafla unastaafu maokoto yanakata nakutokana na nature ya kazi yao kuhamishwa kila siku mara mkoa huu inakuwa ngumu kuwa na biashara au alternative chanel ya hela