promethus
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 1,164
- 1,901
Akili za ajabu hizi.Wanataka wajimalize. Wewe kwa nn unateseka? Machozi ya mamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mfano mkipata viti maalum nao mtawashinikiza wasiende bungeni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za ajabu hizi.Wanataka wajimalize. Wewe kwa nn unateseka? Machozi ya mamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo ni katiba mkuu sio CHADEMA. Na ndio maana kina Mnyika walipigania wagombea binafsi ili hta mbunge akivuliwa uanachama aendelee kuwa mbunge na hta akikosa chama bado ana fursa ya kugombea ubunge.Hivi unawezaje kuweka chama mbele dhidi ya wananchi wako!?
Kosa lenu CHADEMA ndio hilo na adhabu yake tumewapa kwenye uchaguzi huu.
Mmekuwa na kawaida ya kuheshimu chama kuliko wapiga kura wenu....Sasa safari hii sisi Watanzania tumewapa dozi ambayo imewazika kabisaaaa. Hatutaki wahuni kwenye Bunge letu!
Kaeni kwenye lichama lenu na muendelee kumtukuza yule mzee wa Faru Joni tuonane mtafika wapi kisiasa.
Huyo dada kwa hekima anapaswa kuheshimu wapiga kura wake kisha ndio chama kinafuata. Wapiga kura ndio kila kitu kwenye siasa. CCM wanalijua hilo CLEARLY.
Sheria ya kupata viti maalum unaijua? Lengo ilikuwa kuwe na ccm tu. Wamefanikiwa kelele za nn? Chadema watafute biashara nyingine maisha yasonge. Siyo lazima cdm wawepo bungeni. Narudia siyo lazima. Ccm wanatosha peke yaoAkili za ajabu hizi.
Mfano mkipata viti maalum nao mtawashinikiza wasiende bungeni?
Kama katumwa na wananchi bhas ajiuzulu maana atawakosesha hao wananchi maendeleo in Meko's voiceUnamaanisha auache mshahara wa kibunge utamapa ugali wewe kiazi kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wananchi Kama anawapenda ajiuzulu maana hakuna maendeleo kwa wananchi wenye mbunge wa upinzani in Meko's voiceHajatumwa na wenzake Diba ametumwa na wananchi. Akijiuzulu atakua amevunja mkataba na hatawatendea haki aliowaahidi kuwatumikia miaka5
Sheria ya viti maalum ikoje ?Tokea jana natamani kufahamu. Ikute CCM walifanya mahesabu ili Lissu apate kura ambazo chama chake hakitaweza kupata wabunge viti maalum.Sheria ya kupata viti maalum unaijua? Lengo ilikuwa kuwe na ccm tu. Wamefanikiwa kelele za nn? Chadema watafute biashara nyingine maisha yasonge. Siyo lazima cdm wawepo bungeni. Narudia siyo lazima. Ccm wanatosha peke yao
Mm nazani hii itakua nzuri kwakeHata akimfuta, Spika na Tume ya Uchaguzi watakataa kutambua kuwa amefutwa. Kama amewekwa kama boya, hamna namna watakubali akose ubunge.
Amandla...
Inataka uwe na at least 5% ya kura za wabunge.Sheria ya viti maalum ikoje ?Tokea jana natamani kufahamu. Ikute CCM walifanya mahesabu ili Lissu apate kura ambazo chama chake hakitaweza kupata wabunge viti maalum.
Sasa kama ameshinda si haki yake, ya nini kunyanyasana kisa ubabe?Kwa sababu wengine wote walioshinda wameporwa ushindi kuanzia Tundu Lissu na wengineo
Mkuu umepata update baada ya kikao cha chama leo?Kasema mwenyewe kuwa hataki kwenda bungeni na hadi sasa viongozi wake hawajasema lolote. Kumbuka huyu alikuwa mbunge wa viti maalum chadema bunge lililopita. Anajua anachokisimamia. Hawezi kwenda bungeni ili ccm wapate mtu wa kumdhihaki
Na wala vikao visingezungumzia hiyo agendaMbowe angeshinda asingetaka majadiliano na mtu.
Sio kwa spika wetu mwaminifu Ndungai huyo Dada akiamua kuwa mbunge atakaa bungeni kama walivyokaa kina Mwambe,silinde .Wananchi awawezi kukosa uwakilishi kisa wahuni wachache wamekaa kujadiliana kumfutia uanachama mbungeMbunge anadhaminiwa na chama sio wananchi. Hta bungeni mnakaa kwa mfumo wa kichama, same to kamati. Na ndio maana Leo Mbowe akimfuta uanachama huyo dada ndio ubunge wake unafia hapi hapo.
Anatakiwa asimamie idhini ya wananchi na siyo wivu wa viongozi wenzake wa chama.Mi nawaza tuu hivi akiamua kijiuhudhuru, au sijuh kufanya maamuzi gani ni Sawa ila swali
Atakuwa ame watendea Haki watu wake walio kubali kupanga folen kuchagua yeye???
Yeye awaze kuusu chama chake Je walio piga kula ni watu WA chama chake tuuu???
Kumbuka watu wame mwamin ndio maana wame fanya maamuhayo kwake Sasa akiamua kuwa tupa huo ndio ushenz utakao fanya watu wasije kuthubutu Tena kufanya maamuzi kama hayo kwakuwa wanajua tukimchagua wenziwe wakikosa ataujiudhuru
Hilo ni jambo lingine na tayari matokeo tunayo kua Bi Aidah ni mshinde, ni halali kama chama kukomaa mama wa watu asiende bungeni wakati ticket kaipatia kwenye kura?Haileweki mpaka sasa kwa nini CCM wameamua kutoiba kura huko Nkasi.
Uzuri umesema maamuzi ya Ndugai kma Ndugai ila kma ni sheria tu, hiyo kitu hairuhusiwi.Sio kwa spika wetu mwaminifu Ndungai huyo Dada akiamua kuwa mbunge atakaa bungeni kama walivyokaa kina Mwambe,silinde .Wananchi awawezi kukosa uwakilishi kisa wahuni wachache wamekaa kujadiliana kumfutia uanachama mbunge
Bunge litawalinda wabunge kwa gharama yoyote pale wanapoonewa na vyama vyao kwa gharama yoyoteUzuri umesema maamuzi ya Ndugai kma Ndugai ila kma ni sheria tu, hiyo kitu hairuhusiwi.
Kanuni ipi hiyo? Katiba inasema lazima udhaminiwe na chama.Bunge litawalinda wabunge kwa gharama yoyote pale wanapoonewa na vyama vyao kwa gharama yoyote
Tija ya bunge italindwa kwa gharama yoyote ikiwezekana kuikandamiza kanuniKanuni ipi hiyo? Katiba inasema lazima udhaminiwe na chama.
Hataki sasa mfuate kamlazimisheAache kufanya maamuzi kimememko huyo dada kuacha ubunge kisa wengine wameshindwa ni uduanzi wa kiwango Cha lami.
Kasema ataungana na wenzake sasa ww toa povu hapa,mnajali nn Kama mkiwa peke yenu bungeni mlete maendeleo mliyosemaHivi unawezaje kuweka chama mbele dhidi ya wananchi wako!?
Kosa lenu CHADEMA ndio hilo na adhabu yake tumewapa kwenye uchaguzi huu.
Mmekuwa na kawaida ya kuheshimu chama kuliko wapiga kura wenu....Sasa safari hii sisi Watanzania tumewapa dozi ambayo imewazika kabisaaaa. Hatutaki wahuni kwenye Bunge letu!
Kaeni kwenye lichama lenu na muendelee kumtukuza yule mzee wa Faru Joni tuonane mtafika wapi kisiasa.
Huyo dada kwa hekima anapaswa kuheshimu wapiga kura wake kisha ndio chama kinafuata. Wapiga kura ndio kila kitu kwenye siasa. CCM wanalijua hilo CLEARLY.