Hivi kwanini baadhi ya Wazazi/Walezi Tanzania ukiuliza umeandika Wosia anaona kama unataka kumuua?

Hivi kwanini baadhi ya Wazazi/Walezi Tanzania ukiuliza umeandika Wosia anaona kama unataka kumuua?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Hivi kwanini Tanzania ukimuuliza Mzazi au Mlezi umeandika Wosia? Anaona kama unataka kumuuwa vile, kumbe ni wajibu wake kuandika ili kuepusha usumbufu na migogoro hapo baadae.
 
Wakuu

Hivi kwanini Tanzania ukimuuliza Mzazi au Mlezi umeandika Wosia? Anaona kama unataka kumuuwa vile, kumbe ni wajibu wake kuandika ili kuepusha usumbufu na migogoro hapo baadae.
Kuandika uhusia ni jambo la mwenye mali na ni siri yake. Sasa inakuwaje umulize mtu siri yake wakati yeye hajawa tayari kuitowa hadharani. Tafuta vyako achana na akili ya kutegemea urithi utakufa masikini.
 
Wakuu

Hivi kwanini Tanzania ukimuuliza Mzazi au Mlezi umeandika Wosia? Anaona kama unataka kumuuwa vile, kumbe ni wajibu wake kuandika ili kuepusha usumbufu na migogoro hapo baadae.
Kizazi chenye hayo mawazo kinazidi kuisha kwa hio kizazi kinachokuja kimeshaona yaliyomo yamo wataandika wenyewe bila shutti just sit back and watch.

Hadi maprofesa wanakomaa na mali za ndugu.
😂
 
😂 Inategemea na nani kukuuliza!
 
Wakuu

Hivi kwanini Tanzania ukimuuliza Mzazi au Mlezi umeandika Wosia? Anaona kama unataka kumuuwa vile, kumbe ni wajibu wake kuandika ili kuepusha usumbufu na migogoro hapo baadae.
Kama hutaki migogoro hapo baadae kataa mali za urithi.

Mzazi kama hataki kuandika wosia acha kumsumbua.
 
Back
Top Bottom