Ushawahi kuona/kusikia mtoto kalamba chumvi Mkuu Zero IQ?Miaka nenda miaka Rudi nikienda Dukani nakuta bei ya Chumvi iko pale pale,
Bidhaa zingine muhimu kama vile Sukari, mafuta, Unga kila siku naona zinabadirika bei,
Leo unaweza kuta imepanda, kesho imeshuka,
Sasa kwa nini Chumvi huwa haipandi bei licha ya umuhimu wake?
CC Zero IQ
Wafanya biashara wote [emoji23][emoji23][emoji23]Wakina nani mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
CC Zero IQ
Wapi huko?Chumbi imepanda bei mkuu, kwa sasa kiroba ni 35,000/= kutoka kwenye 8,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Chumvi this year January ilipanda kiasi na ilikuwa haipatikani wingi.Miaka nenda miaka Rudi nikienda Dukani nakuta bei ya Chumvi iko pale pale,
Bidhaa zingine muhimu kama vile Sukari, mafuta, Unga kila siku naona zinabadirika bei,
Leo unaweza kuta imepanda, kesho imeshuka,
Sasa kwa nini Chumvi huwa haipandi bei licha ya umuhimu wake?
CC Zero IQ
Hapo chacha, huyu atakua wa juzi,Bei ya chumvi iko pale pale...
Haya nionyesheni duka linalouza chumvi ndogo shilingi 50 na chumvi kubwa shilingi 100
Chumvi ina matumizi mengi na hivyo hata demand yake ni kubwa. Kwa sababu ya kuwa na demand kubwa, tungerajia pia bei yake kupanda mara kwa mara, lakini jambo linalofanya chumvi kuwa na bei ya kwaida au bei yake kutopanda licha ya kuwa inahitajika sana na matumizi yake ni mengi ni upatikanaji wake.Miaka nenda miaka Rudi nikienda Dukani nakuta bei ya Chumvi iko pale pale,
Bidhaa zingine muhimu kama vile Sukari, mafuta, Unga kila siku naona zinabadirika bei,
Leo unaweza kuta imepanda, kesho imeshuka,
Sasa kwa nini Chumvi huwa haipandi bei licha ya umuhimu wake?
CC Zero IQ
Chumbi imepanda bei mkuu, kwa sasa kiroba ni 35,000/= kutoka kwenye 8,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ni kwa kuwa tu serikali haijaweka mkono wake,siku serikali ikisema chumvi ishuke bei utashangaa bei yake itakavyolipuka,hata sukari ilitulia kwenye bei yake kwa muda mrefu sana,ila mzee alipotia mdomo tu kwanza wauzaji wakaificha,ikaadimika,ikawa bidhaa adimu hence bei ika sky rocket,hata chumvi ikiadimika pia itakuwa bidhaa adimu,kisha itakuwa bidhaa ghali, suala la gharama za uzalishaji si kwa bidhaa zote,mfano mbolea ya minjingu uzalishaji wake ni rahisi kuliko chumvi,ila inauzwa bei ghali kuliko cement,mbolea ya minjingu ni unaichota,unaichekecha,kisha unajaza kwenye mifuko tayari kwa matumizi,ila ni ghali.Jibu rahisi sana. Mosi, uzalishaji wa chumvi hauna gharama kubwa ukilinganisha na sukari. Pili, chumvi hutumika kwa uchache. Mboga ya watu 5 huweza kuwekwa chumvi nusu kijiko wakati sukari kila mtu hujijazia kwa kikombe yake. Aidha, sukari hutumika kwa vyakula vingi zaidi kuliko chumvi na hivyo kuongeza uhitaji.
EcholimaMiaka nenda miaka Rudi nikienda Dukani nakuta bei ya Chumvi iko pale pale,
Bidhaa zingine muhimu kama vile Sukari, mafuta, Unga kila siku naona zinabadirika bei,
Leo unaweza kuta imepanda, kesho imeshuka,
Sasa kwa nini Chumvi huwa haipandi bei licha ya umuhimu wake?
CC Zero IQ
mkuu Zero IQ mambo ya kuchakata mbunye umeishia wapi ??? maana siku hizi umeokoka na mada zako ni za GTMiaka nenda miaka Rudi nikienda Dukani nakuta bei ya Chumvi iko pale pale,
Bidhaa zingine muhimu kama vile Sukari, mafuta, Unga kila siku naona zinabadirika bei,
Leo unaweza kuta imepanda, kesho imeshuka,
Sasa kwa nini Chumvi huwa haipandi bei licha ya umuhimu wake?
CC Zero IQ