mahenda255
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 513
- 691
Unamaanisha nini mkuu?Ni kwsababu hamna jalala la kuyatupa
aise hyo gari huwa hainivutii kabisa kama nissan juke tuSijawahi kuvutiwa na hizo gari, nafikiri ndio maana sizijui vizuri mkuu.
Ebu tuendelee kusubiri wajuvi wa hizi mambo wakuje.
Watu wengi Africa wanamiliki Toyota na sio Nissan kwa sababu ya maintenance costs. Spares za Nissan ni aghali sana ukilinganisha na Toyota.Habari za asubuhi wakuu!
Nimejaribu kupitapita kwenye mitandao ya kijamii nikitafuta gari used kwa mtu angalau na mie nipate usafiri hapa mjini.
Nimeona madalali wanapost gari hizi kwa bei ya kutupa, ukizingatia ni SUV na specific sawa na gari kama harrier na Kruger lakini nashangaa kukuta no.D iliyosimama inauzwa mil.6[emoji15]
Au shida ni upatikanaji wa spare?
PREMIO AU RUMION kituo kinachofataa hizi ni zaidi ya unyamaaakama ni chuma yako ya kwanza kumiliki acha kabisa hilo dude....
ongezea pesa kidogo uvute premio ule maisha
NB: Similiki gari ila nina uzoefu mzuri sana wa magari
kaka ukiwa na hela nyingi na rumion...mimi ntakuchukulia mchepuko wako kwa premioPREMIO AU RUMION kituo kinachofataa hizi ni zaidi ya unyamaaa
Mimi nipo kwenye utata , Kati ya Nissan Duals na Premiho ipi ipo poa , uwezo wa kuagiza iliyotembea below 50000 miles , yyte Kati ya hzo ninao , nasita kwenye Premiho sababu naona kama ipo down Sanakaka ukiwa na hela nyingi na rumion...mimi ntakuchukulia mchepuko wako kwa premio
hapa namaanisha premio ni nzuri zaidi
Shukran bro kwa ushaurikaka ukiwa na hela nyingi na rumion...mimi ntakuchukulia mchepuko wako kwa premio
hapa namaanisha premio ni nzuri zaidi
Tena upate premeo new model ni hatari tupukaka ukiwa na hela nyingi na rumion...mimi ntakuchukulia mchepuko wako kwa premio
hapa namaanisha premio ni nzuri zaidi
Ile bei yake sio poa imechangamka sanaTena upate premeo new model ni hatari tupu
ile premio tu ya kawaida ya 2004 ukiipata itandike rimsport kali,mziki mdundo na tinted mpya nzuriTena upate premeo new model ni hatari tupu
πππkwamba premio unyama???kaka ukiwa na hela nyingi na rumion...mimi ntakuchukulia mchepuko wako kwa premio
hapa namaanisha premio ni nzuri zaidi
kwa wenye vipato vya kawaida premio ni zaidi ya unyama for which tukiacha masihara watu wengi mtaani wana kipato cha kawaida sana ,,,,,kwahyo watu wengi watakuona unamiliki chuma nzuriπππkwamba premio unyama???
πππkwamba premio unyama???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama tu watu wanavimba na IST ,,,,ukimiliki premio na ukawa unaenda kuangalia mpira viwanja vyenye watoto wa chuo,,,,hakika GONO na UKIMWI watachekelea sanaπ