Kwqnini unanihukumu kuwa na pesa za kuungaunga ndugu?? Kubana matumizi hakuingiliani na kuwa na pesa asee,nina VX V8 cc4000+ na ni petrol engine,sijawahi kuipaki kwa kuogopa wese sasa nakushangaa unavyo nihukumuSiyo watu wote wanapesa za kuungaunga kama wewe hata waogope gharama ya mafuta.