Kwqnini unanihukumu kuwa na pesa za kuungaunga ndugu?? Kubana matumizi hakuingiliani na kuwa na pesa asee,nina VX V8 cc4000+ na ni petrol engine,sijawahi kuipaki kwa kuogopa wese sasa nakushangaa unavyo nihukumuSiyo watu wote wanapesa za kuungaunga kama wewe hata waogope gharama ya mafuta.
Mzee kila gari unayo mara golf...mara polo vivo mara aud A4 2010 saizi tena vx v8[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwqnini unanihukumu kuwa na pesa za kuungaunga ndugu?? Kubana matumizi hakuingiliani na kuwa na pesa asee,nina VX V8 cc4000+ na ni petrol engine,sijawahi kuipaki kwa kuogopa wese sasa nakushangaa unavyo nihukumu
Mzee kila gari unayo mara golf...mara polo vivo mara aud A4 2010 saizi tena vx v8[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
Daah humu ukiwa masikini umeamua
Umeme mwingi ikizima fundi wa kuja kuiwasha hadi waje Mitsubishi wenyeweNunua Mitsubishi outlander sio mbaya , na bei ni ya maandazi kabisa
Sema Tanzania.Watu wengi Africa wanamiliki Toyota na sio Nissan kwa sababu ya maintenance costs. Spares za Nissan ni aghali sana ukilinganisha na Toyota.
Mimi nimpenzi wa ndiga br,na bado najichanga niongeze,ukifika kwangu utaamjni ninayo kwambia,mimi nimlevi wa magariMzee kila gari unayo mara golf...mara polo vivo mara aud A4 2010 saizi tena vx v8[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mjomba[emoji3][emoji3]Mimi nimpenzi wa ndiga br,na bado najichanga niongeze,ukifika kwangu utaamjni ninayo kwambia,mimi nimlevi wa magari
Hivi kuna golf GTI yenye 1400cc mkuu?Sio kuifuata tu,wewe maliza kisahani chako chenye 180 mimi nakupa 220 tu,nakwambia pale mbande mbona nawatoaga kamasi kibao tu,usicheze na golf gti ndugu yangu,stability kiukweli ipo yakutosha kabisa,kigari nikizuri asee mimi ninamapngo wa kuagiza ya 2018 japo bei ni yamoto sana.
Kubana matumizi ndiyo kitu gani kwa mwenye pesa?.Kwqnini unanihukumu kuwa na pesa za kuungaunga ndugu?? Kubana matumizi hakuingiliani na kuwa na pesa asee,nina VX V8 cc4000+ na ni petrol engine,sijawahi kuipaki kwa kuogopa wese sasa nakushangaa unavyo nihukumu
weee zombiiiiiKwqnini unanihukumu kuwa na pesa za kuungaunga ndugu?? Kubana matumizi hakuingiliani na kuwa na pesa asee,nina VX V8 cc4000+ na ni petrol engine,sijawahi kuipaki kwa kuogopa wese sasa nakushangaa unavyo nihukumu
Unacho kisema si kweli hizo gari zote ziko bomba sana tatizo la watanzani ni kutaka kupita njia za panya kwenye kila kitu, kuna vitu vingine havitaki njia za panya,Kila Nissan wakitoa gari lazima watoe boko tu Nissan xtrail , Nissa Murano , Nissan dualis zote zimeonekana Ni gar za hvyo