Hivi kwanini Kenya ipo hivi?

Hivi kwanini Kenya ipo hivi?

Where did you reach with your education?
we jamaa nina mashaka na elimu yako ... iv umesoma iyo link niliyokupatia vizuri ? embu tazama nairobi inachangia kwa % ngapi alafu uone anae mfuatia anachangia kwa % ngapi ..huge gap ... na mm hata kabla sijatafuta iyo taarifa nilihisi tu nairobi lzm inavyanzo vingi vya makusanyo ya mapato na inachangia kwa kiasi kikubwa .mfano tu wa real estate kwa nairobi ni kubwa kuliko nchi nyingi za afrika mashariki ... ss ww ukataka kuleta ukanja nja walo wa kutoroka shule ukazani humu una chat na MAZWAZWA kama unao piga nao story hapo kajiado ? weeeeeeee UTAWAAMBIAAAAA NN WATUUUUUUUUUUUUUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Where did you reach with your education?

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha Maneno ya mkosaji ndio kama hayo.... HOJA yako ya AWALI ilikuwa ni eti nairobi sio mji tajiri hapo na ukataja KIAMBUU county ..nika kuprove wrong know unaleta story zingine... bro nakutakia asubuhi njema let go and hustle for the our family prosperity
 
Najua story za shule hamjaipenda.
hahahaha Maneno ya mkosaji ndio kama hayo.... HOJA yako ya AWALI ilikuwa ni eti nairobi sio mji tajiri hapo na ukataja KIAMBUU county ..nika kuprove wrong know unaleta story zingine... bro nakutakia asubuhi njema let go and hustle for the our family prosperity

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiangalia Kenya map by counties utaona slums around Kenya zilianzia kwenye akili ya mchora ramani yao, sababu haiwezekani counties nyingine zikawa ndogo kiasi kama kamtaa fulani hivi na counties nyingine kuuuubwa sana

Nafikiria ni vigezo vipi vilizingatiwa kuweka mipaka ya kipumbavu kiasi hiki, je ni boundaries za wakoloni au wenyewe wakenya?

All in all they look ugly

View attachment 1072408View attachment 1072410
Matatizo ya wakenya tuwaachie wenyewe wakenya kuhusu aliyewachorea hawakawii kuja kulialia humu kuwa tumehack kijiramani chao na kuchora vitu vya ajabu,tunajua ipo siku wataanza kulalamikia hili kama walipodai tumewaibia mawingu ya mvua,yaani ni wajinga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha, unataka kutoka nje ya mada, muhimu ni kwamba Kenyans suffer from poverty related problems than any other citizens in the region, apart from Somalia and South Sudanese

Sent using Jamii Forums mobile app
That's the reason I told you to go back to school, ama ukiona haiwezekani then go to your usual economic field(witchcraft). Cholera is not a poverty disease, it's an hygienic disease.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii huchangia sana katika kuifanya Tanzania kuwa maskini wa kutupwa, wilaya kuubwa hadi mkuu wa wilaya anamaliza miaka hajawahi kuitembelea yote, halafu mambumbubu ya CCM yanaona hii ni sifa.
Kwa nini mnataka kulekibisha katiba kuondoa counties kwamba zinamaliza hela na hakuna cha maana?
 
Upumbavu wako wa Kikuyu na Kalenjin mwisho Namanga, huku sisi ni watu tinaojitambua na kujitawala, umeshindwa kujenga hoja unaanza kuangalia vitu kidogo, stupid kabisa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali wewe hapo unayejenga hoja kwa kutaja vitu vya kipumbavu ambavyo havihusiani na mada hata kidogo kama makabila. Mimi niliyekuelimisha tofauti ya states na counties na kwamba USA haina counties 52 pekee yake nimekosea sana. 😎
 
Ndio nataka kujua hiyo demographics played when? Obviously wakati wa mkoloni mlikua very few and am suspicious those boundaries established by colonial masters, sasa mlivyopata uhuru akili hamkua nayo? Kenyatta alikua busy kuangalia ni fertile land ipi imenona aigrab akaacha kuondoa hii mess
Colonial boundaries extend to countries ,Tanganyika unayoijia creation ya mkoloni. Shame kuheshimu mipaka ya mkoloni.
 
Back
Top Bottom