Hivi kwanini Kenya ipo hivi?

Hivi kwanini Kenya ipo hivi?

Wakenya msio na akili najua mtakuja kuachia povu hapa lakini mjue tu kutokana na utitiri wa vijicounties vidogo lazima kuwe na unequal distribution of central government resources na pia ni wastage of resources kuhudumia vijicounties vidogo vidogo wakati ungeweka viunganisha ikawa County moja

Kwenye kila county lazima kuwe na assemblies, administration buildings, civil servants and other loads of expenses ambazo ni hopeless kwa hivyo vijicounties vilivyosongamana kama chawa.

Ahaaa haaa haaa
Hizo county ziligawanywa kwa kufuata ukabila.
 
Back
Top Bottom