Hivi kwanini klabu ya Yanga inashindwa kuheshimu logo za klabu nyingine?

Wao wacheze mpira waifunge Yanga hayo malogo yao yakibadilika hayana madhara sana mana uhalisia wake unajulikana. Hata hivyo ukiondoa Yanga,Azam na mbumbumbu FC timu zingine hazijiendeshi kibiashara. Wacha tu tuchezee logo zao

Aah mkuu.... sidhani kama ni sawa ''kuchezea logo zao'' kwa sababu timu hizo hazijiendeshi kibiashara. Kila timu inapaswa kuiheshimu timu nyingine kwa sababu mchezo wa soka umejengwa katika misingi ya ustaarabu na uungwana.
 
Hako katimu kako hakajui masuala ya biashara kupitia nembo yake wewe umetoa wapi hayo mawazo!? Mikia a.k.a mbu×3 bwana!!

Hii ni timu ya nyumbani mkuu. Ninaweza kuwa shabiki wa Yanga au Simba lakini kama ninatokea MBEYA ninao wajibu wa kuipenda timu ya nyumbani. Na hili ni jambo la kawaida kabisa. Mfano Mh Mwigulu Nchemba ni shabiki wa Yanga lakini ana mapenzi pia na Singida Utd kama chama la nyumbani.

Kuhusu udogo au ukubwa wa timu (kama ulivyotumia neno ''hako katimu kako'') niseme tu kwamba heshima, ustaarabu na uungwana havijali sana kuhusu nani ni mkubwa na nani ni mdogo.
 
Kwani kipi kiliharibika baada ya hayo mabadiliko? Hata viongozi wa timu hizo hawakulalamika!

Mkuu endapo Yanga atacheza na Coastal Union halafu akaweka logo ya Yanga kwa rangi nyekundu na nyeupe utaona ni sawa tu ?
 
unaongea ujinga wa hali ya juu mbele ya magraphic humu jukwaani hakuna kubadili logo husika kwa kitu chochote mvuto wa nini kama unedisign poa jwa nini ikatae
 
Mi pia ni wa kwenu.Tuko pamoja kaka.Maeneo yote ya Iwambi,Mbalizi,uyole Mwanjelwa,n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nasema yanga wote ni sawa na kenge na nina ushahidi,bisha nije na ushahidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mimi ni mshabiki wa yanga ila kwa hili wameniudhi sana kwani wakiweka logo kama ilivo hata kama ina rangi nyekundu ndo kusema kwamba watafungwa au inakuwaje mbona yanga tuna ujuha mwingi kiasi hiko aisee, sisi yangu niwa pumbafu kuanzia mashabiki na viongozi wetu hizi ni dharau zilizo vuka mipaka naomba hili tulifikishe kweny mamlaka zinzohusika ikiwezekana tupewe adhabu kali
View attachment 1356345
Hii ni nyingine hapa ya Mbeya City FC. Hili kwa kweli halipendezi hata kidogo.
 
Hamna kitu kama hiko mkuu ndo iwe kila siku na kwenye ile ya mdhamini mkuu vodacom je mbona tulikataa ile rangi nyekundu kwani nani asiejua kama vodacom wanatumia rangi nyekundu??!! [emoji848] [emoji22] [emoji22] Sisi yanga tumerogwa na alietuloga kashakufa
Pengine ni uzembe tu wa ''vijana wao'' wa idara ya habari na mawasiliano hasa wale wanao handle social media accounts zao.
 
Acha ushamba ww hapo mjinga mkubwa unashadadia utumbo kajoe ulale boya wewe
 
Fact sio hao lopolopo wa yanga wenzangu wanapinga pinga kila kitu hata vitu vya msingi na vyenye maana kiukweli yanga hapo tumekosea sana kimpira haiko hivo tuheshimu logo za timu zingine kama wanaheshimu ya kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…