Hivi kwanini Korodani zinawasha na kunuka?

Hivi kwanini Korodani zinawasha na kunuka?

Fungus au bacterial infections hiyo, kazi ndogo tu nyoa vuzi tumia dettol soap mwasho unaisha au tumia ant fungal creams
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣humu kuna dada wakati yuko O level boarding alikuwa hajui kama vuzi huwa linanyolewa. Sasa kwa shida ya maji pale shule walikuwa wakioga mtoni. Hivyo yeye alidhani ana maumbile tofauti au kilema 😂😂😂😂 ndiyo sababu ana vuzi kubwa kama msitu kuliko wenzie.

Hakuja kustuka hadi yuko kidatu cha tatu baada ya rafiki yake kumuuliza kwanini hapendi kunyoa? 🤣🤣🤣 Alikuwa hajui chochote kuhusu vuzi kunyolewa sasa imagine ukubwa wa vuzi tangu avunje uongo hadi kidatu cha tatu 😂😂😂😂😂😂 Alikuja humu kuhadithia huo mkasa wake. Siku ile nilicheka hadi machozi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kuna msela wakati tupo form 1 uboyzini tunaoga nae jamaa alikuwa na vuzi ndefu zinalingana urefu na kidole gumba
yani zilikuwa nyingi zaidi ya nywele huenda ndio huyu mleta mada🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣humu kuna dada wakati yuko O level boarding alikuwa hajui kama vuzi huwa linanyolewa. Sasa kwa shida ya maji pale shule walikuwa wakioga mtoni. Hivyo yeye alidhani ana maumbile tofauti au kilema 😂😂😂😂 ndiyo sababu ana vuzi kubwa kama msitu. Hakuja kustuka hadi yuko kidatu cha tatu baada ya rafiki yake kumuuliza kwanini hapendi kunyoa? 🤣🤣🤣 Alikuwa hajui chochote kuhusu vuzi kunyolewa sasa imagine ukubwa wa vuzi tangu avunje uongo hadi kidatu cha tatu 😂😂😂😂😂😂 Alikuja humu kuhadithia huo mkasa wake. Siku ile nilicheka hadi machozi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣hahahaha, kuna mmoja wakati tupo O level alikuwa anasuka kabisa huko chini
mwingine nimewahi kukutana nae ukubwani ana kiduku huko
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣humu kuna dada wakati yuko O level boarding alikuwa hajui kama vuzi huwa linanyolewa. Sasa kwa shida ya maji pale shule walikuwa wakioga mtoni. Hivyo yeye alidhani ana maumbile tofauti au kilema 😂😂😂😂 ndiyo sababu ana vuzi kubwa kama msitu kuliko wenzie. Hakuja kustuka hadi yuko kidatu cha tatu baada ya rafiki yake kumuuliza kwanini hapendi kunyoa? 🤣🤣🤣 Alikuwa hajui chochote kuhusu vuzi kunyolewa sasa imagine ukubwa wa vuzi tangu avunje uongo hadi kidatu cha tatu 😂😂😂😂😂😂 Alikuja humu kuhadithia huo mkasa wake. Siku ile nilicheka hadi machozi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu, kama uzi unaukumbuka weka hapa nikasome😂
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣humu kuna dada wakati yuko O level boarding alikuwa hajui kama vuzi huwa linanyolewa. Sasa kwa shida ya maji pale shule walikuwa wakioga mtoni. Hivyo yeye alidhani ana maumbile tofauti au kilema 😂😂😂😂 ndiyo sababu ana vuzi kubwa kama msitu kuliko wenzie. Hakuja kustuka hadi yuko kidatu cha tatu baada ya rafiki yake kumuuliza kwanini hapendi kunyoa? 🤣🤣🤣 Alikuwa hajui chochote kuhusu vuzi kunyolewa sasa imagine ukubwa wa vuzi tangu avunje uongo hadi kidatu cha tatu 😂😂😂😂😂😂 Alikuja humu kuhadithia huo mkasa wake. Siku ile nilicheka hadi machozi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii kiboko asee!!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom