kuna msela wakati tupo form 1 uboyzini tunaoga nae jamaa alikuwa na vuzi ndefu zinalingana urefu na kidole gumbaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ vuzi lina miaka hajaligusa π€£π€£π€£π€£
We zikate zianike kidogo juaniWe zioshe utakavyoziosha, zipigie perfume uwezavyo but still lazima kaharufu katoke..
#Wataalamu njooni mnipe Darasa
kuna msela wakati tupo form 1 uboyzini tunaoga nae jamaa alikuwa na vuzi ndefu zinalingana urefu na kidole gumba
yani zilikuwa nyingi zaidi ya nywele huenda ndio huyu mleta madaπ€£
wadada mna tabu sanaπ€£, kuna demu nili date naye sasa siku moja akanisimulia kuwa before mimi alikuwa ana date na rasta Man fulaniHuwa wanazifanyaje hao wala nauli?
π€£hahahaha, kuna mmoja wakati tupo O level alikuwa anasuka kabisa huko chiniπ€£π€£π€£π€£π€£π€£humu kuna dada wakati yuko O level boarding alikuwa hajui kama vuzi huwa linanyolewa. Sasa kwa shida ya maji pale shule walikuwa wakioga mtoni. Hivyo yeye alidhani ana maumbile tofauti au kilema ππππ ndiyo sababu ana vuzi kubwa kama msitu. Hakuja kustuka hadi yuko kidatu cha tatu baada ya rafiki yake kumuuliza kwanini hapendi kunyoa? π€£π€£π€£ Alikuwa hajui chochote kuhusu vuzi kunyolewa sasa imagine ukubwa wa vuzi tangu avunje uongo hadi kidatu cha tatu ππππππ Alikuja humu kuhadithia huo mkasa wake. Siku ile nilicheka hadi machozi π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Mkuu, kama uzi unaukumbuka weka hapa nikasomeππ€£π€£π€£π€£π€£π€£humu kuna dada wakati yuko O level boarding alikuwa hajui kama vuzi huwa linanyolewa. Sasa kwa shida ya maji pale shule walikuwa wakioga mtoni. Hivyo yeye alidhani ana maumbile tofauti au kilema ππππ ndiyo sababu ana vuzi kubwa kama msitu kuliko wenzie. Hakuja kustuka hadi yuko kidatu cha tatu baada ya rafiki yake kumuuliza kwanini hapendi kunyoa? π€£π€£π€£ Alikuwa hajui chochote kuhusu vuzi kunyolewa sasa imagine ukubwa wa vuzi tangu avunje uongo hadi kidatu cha tatu ππππππ Alikuja humu kuhadithia huo mkasa wake. Siku ile nilicheka hadi machozi π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Mara ya mwisho Mkeo kakunyoa lini hizo nywele za sirini??ππWe zioshe utakavyoziosha, zipigie perfume uwezavyo but still lazima kaharufu katoke..
#Wataalamu njooni mnipe Darasa
Hii kiboko asee!!π€£π€£π€£π€£π€£π€£humu kuna dada wakati yuko O level boarding alikuwa hajui kama vuzi huwa linanyolewa. Sasa kwa shida ya maji pale shule walikuwa wakioga mtoni. Hivyo yeye alidhani ana maumbile tofauti au kilema ππππ ndiyo sababu ana vuzi kubwa kama msitu kuliko wenzie. Hakuja kustuka hadi yuko kidatu cha tatu baada ya rafiki yake kumuuliza kwanini hapendi kunyoa? π€£π€£π€£ Alikuwa hajui chochote kuhusu vuzi kunyolewa sasa imagine ukubwa wa vuzi tangu avunje uongo hadi kidatu cha tatu ππππππ Alikuja humu kuhadithia huo mkasa wake. Siku ile nilicheka hadi machozi π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hii kiboko asee!!
[emoji1787][emoji1787] ushauri wako Ni sawa na nguvu za gizaChukua moto wa mkaa,weka jikoni kisha tafuta wavu weka juu ya jiko,kisha chuchumaa hapo kwenye jiko pumbu zikiwa juu ya wavu.tatizo litaisha.
Mkuu utakuja kunishukuru hapa huku ukitokwa na machozi kwa furaha.
teh teh tehπ Muache banaNa unakuta uko kwenye pm za wadada bize kutongoza wakati kusafisha pumbu zako huwezi, putuuuuuuu
Si vibaya akikupata utamsaidia kuzifanyia usafi mkuuNa unakuta uko kwenye pm za wadada bize kutongoza wakati kusafisha pumbu zako huwezi, putuuuuuuu