Hivi kwanini kuna uhusiano mkubwa introvert na spy au jasusi

Hivi kwanini kuna uhusiano mkubwa introvert na spy au jasusi

Introverts ni watu wenye deep thinking, wana fikra za ndani, huchukulia kila kitu seriously, wana uwezo mkubwa wa kuficha siri, wana uwezo mkubwa wa kufuata procedures ndefu bila kuchoka mapema na hivyo ni real people, watu wa kuaminika zaidi ya extroverts. Siku zote siri zako muambie intro na sio extro nawe utakuwa salama zaidi.
Ntajuaje kama mtu ni introvert....
 
Hua tunakua na unpredicted appearance, silence and unespected!
JamiiForums-383438285.jpg
 
Ntajuaje kama mtu ni introvert....
Si mzungumzaji sana, anapenda upweke, hapendi kuwa au kuongea sana mbele za watu, si mtu wa marafiki sana, si mtu wa kutoka sana akitoka anakwenda kupunga upepo beach peke yake au na familia na kurudi nyumbani, anaonekana mwenye aibu (wakati mwingine), hupenda kutenda zaidi ya kusema, etc
 
🤦‍♂️🤦‍♂️ nadhani ni kinyume chake ,spy mzuri ni yule anayeweza kubadilika badilika kutokana na nature ya tukio analolifuatilia mfano kama ulishawahi kuwasikia "Honeypots" yaani wale wanawake majasusi ambao wanatumwa kuwapeleleza watu mashuhuri au viongozi wakubwa na wanaingia mara nyingi kwa gia ya mapenzi .

Sidhani kama mtu ambaye hapendi ku socielize (introvert) anaweza kuvaa uhusika kwenye mambo kama hayo ,
Au wale watu zamani ulisikia wanajifanyisha ukichaa kumbe ni wana system wanatafuta data eneo husika sidhani kama introvert anaweza kuvaa huo uhusika .

Kiufupi ni kwamba EXTROVERTS ndiyo wanaweza kuwa spy na majasusi wazuri kuliko introverts.
Hata mimi mtazamo wangu ni huu..
 
Kwa utafiti nilioufanya toka kitambo kidogo
Sifa kubwa sana ya spy wengi na majasusi hatari kuwahi kutokea ulimwenguni

Kuna uhusiano moja kwa moja na uintroverse what is the real background

Pia sio ujasusi tu hata matajiri wengi wakubwa ni introvert

Mfano..Vladimir put, Bakhresa, roman abrohvomic, Mark zubergy,

Sio ivo tu hata wanasiasa wakubwa mashuhuri waliowahi kutokea km

Nelson Mandela, julius nyerere, Paul kagame n.k
Nyerere sio Introvert
 
😃 Naona huu uzi umepata ma introverts wa kutosha hii ni baada ya sifa mbali mbali kumwaga kwamba ni watu wenye intelligence kubwa .

Ok mimi nadhani si introvert wala extrovert nipo kati na kati (jamii ya watu wanaojulikana kama ambiverts) huwa napendelea kufanya mambo peke yangu ila nikipata company hakuna shida , na ni bora nikakaa sehemu nisome kitabu au kuangalia movie kuliko kwenda kwenye shughuli yyte ya mikusanyiko ambazo si za lazima mf. Club, party n.k

Kingine mimi ni autodidact nakumbuka nikiwa nasoma kuanzia secondary hadi namaliza elimu zangu nilikuwa najisomea mwenyewe huwa naelewa zaidi ninapokuwa nakichambua kitu mwenyewe kuliko kufundishwa class na walimu.

😄 kuna issue nimeikumbuka nikiwa moja wapo ya makambi ya jkt siku ya party hapo baada ya kuapishwa usiku wake sasa wenzangu wameenda kuburudika huko mi nikaenda angani nikawa nime chill mara pap ! MP huyu hapa akanitoa kwa lazima mpaka huko kwenye hiyo party
 

Attachments

  • Screenshot_20230326-072028.png
    Screenshot_20230326-072028.png
    51.4 KB · Views: 10
Kwa utafiti nilioufanya toka kitambo kidogo
Sifa kubwa sana ya spy wengi na majasusi hatari kuwahi kutokea ulimwenguni

Kuna uhusiano moja kwa moja na uintroverse what is the real background

Pia sio ujasusi tu hata matajiri wengi wakubwa ni introvert

Mfano..Vladimir put, Bakhresa, roman abrohvomic, Mark zubergy,

Sio ivo tu hata wanasiasa wakubwa mashuhuri waliowahi kutokea km

Nelson Mandela, julius nyerere, Paul kagame n.k
Umemtaja kwenye listi yako mjomba paulo,nitamfikishia salamu zake na anavyopenda sifa😃😃😃
 
Mtu muongeaji sana ni rahisi kuchana mkeka. Kupitia maneno mengii unaweza msoma mtu na ukaelewa anawaza nini au anataka nini..

Kule kuna watu aina mbali mbali na wanawekwa kwa kazi maalumu kutokana na Personality zao... kuna mazingira yanahitaji waongeaji sana au wapole sana au kati kati..

Watu wakimya sana, mda mwiki wanafikiria mbeleni na kutatua changamoto.. ingawa sio wote kuna wakimya sana ila mda wote wana waza ujinga
Ushawai kukutana na majasusi??????Wengi ni micharuko ili wapenye.Lakini inategemea na aina ya ujasusi,nakuunga mkono kuna idara za ujasusi ukiwaweka waongeaji sana watachana mikeka.
 
Back
Top Bottom