Hivi kwanini lakini iko hivi? Wanawake mkuje huku mtuambie mnawazaga nini.

Hivi kwanini lakini iko hivi? Wanawake mkuje huku mtuambie mnawazaga nini.

Sonko Bibo

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2019
Posts
957
Reaction score
1,493
Wanawake hudhani kuwa akitumia mwili wake atapata chochote kile kutoka kwa mwanaume!!

Haka kasaikolojia sijui walikatoa wapi?

Mkuje hapa mtuambie ukweli,, Ni kwanini mnapotumia mitindo yote ya mitego kwa Muhuni kama Sonko bila mafanikio mwishoni huwa hamkubaliani na ukweli kuwa mwamba harubuniki wala kuibiwa kizembe basi badala ya kuushati ninyi mnachagua vita tena ile ya maneno chafu chafu tu?
1.. Utasikia maneno ya kisenge senge tu,,
Mara mshikaji anaringa lakini zero tu hamna lolote.

2.. Mara usimuone mstaarabu ni malaya ana tabia chafu mno,,
3.. Mara msafi anajiweka kiafisa sana lakini hana issue hapa town,, na unakuta huyo mwamba hata hawamjui hata kidogo zaidi ya kumuona tu na salamu..
4.. Mara ana pesa ila ana roho mbaya,, oya nyie mlimchongea njia zake za pesa labda?
5.. Usimuone mtanashati na so sijui handsome na vijineno neno vyao ambavyo wanavitumia kutudescribe lakini show hawezi,, na wanaosema hivyo hata kifua wala mkono wa mshikaji hawajawahi kuushika,, achilia hata kutolewa out for a dinner au lunch

Niwaulize kina dada nini huwa inaspark hii vita kwenu kwenda kwa washikaji ambao most huwa ni innocent kabisa baada ya flirting zenu kufeli??
Mkuje hapa mtupe majibu Leo..

By Sonko..
 
kabla sijasemea wanawake wenzangu chochote kitu, una hakika kabisa hujajipigia debe na hili siyo tangazo Bwana Sonko..?

Ahsante.
Nimeaddress issues ambazo wana hukutana nazo mtaa in a daily life basis,,
Maana najua sitakuwa alone kwenye hiyo circle
Wapo wana kibao wanakutana na embarassment za aina hii kisa tu kamchomolea manzi,,
Sasa unakuta manzi anajiamini either yuko full packed jumlisha na miluzi mingi ya wanaume wakubwa kwa wadogo,
Matajiri kwa makapuku so anakuwa anaamini kuwa akikutarget hakuachi but anakuta hauko vile anawaza either anakukera kutokana na approach anayokuja nayo..
Unaishia kumuignore either kwa kuavoid the consequences zake
Lakini yeye anachukulia may be umemdump hardly..
Kuna watu huziona red flags usoni mwa mtu na kuamua kuziepuka mapema for good sake tu.
Lakini wenzetu huhisi nini sijui..
Hebu tuambieni ukweli hapa..
 
Ngoja waje wahusika kujitetea. Wengine tunakaa pembeni kutazama huu mtanange!
 
Wanawake hudhani kuwa akitumia mwili wake atapata chochote kile kutoka kwa mwanaume!!

Haka kasaikolojia sijui walikatoa wapi?

Mkuje hapa mtuambie ukweli,, Ni kwanini mnapotumia mitindo yote ya mitego kwa Muhuni kama Sonko bila mafanikio mwishoni huwa hamkubaliani na ukweli kuwa mwamba harubuniki wala kuibiwa kizembe basi badala ya kuushati ninyi mnachagua vita tena ile ya maneno chafu chafu tu?
1.. Utasikia maneno ya kisenge senge tu,,
Mara mshikaji anaringa lakini zero tu hamna lolote.

2.. Mara usimuone mstaarabu ni malaya ana tabia chafu mno,,
3.. Mara msafi anajiweka kiafisa sana lakini hana issue hapa town,, na unakuta huyo mwamba hata hawamjui hata kidogo zaidi ya kumuona tu na salamu..
4.. Mara ana pesa ila ana roho mbaya,, oya nyie mlimchongea njia zake za pesa labda?
5.. Usimuone mtanashati na so sijui handsome na vijineno neno vyao ambavyo wanavitumia kutudescribe lakini show hawezi,, na wanaosema hivyo hata kifua wala mkono wa mshikaji hawajawahi kuushika,, achilia hata kutolewa out for a dinner au lunch

Niwaulize kina dada nini huwa inaspark hii vita kwenu kwenda kwa washikaji ambao most huwa ni innocent kabisa baada ya flirting zenu kufeli??
Mkuje hapa mtupe majibu Leo..

By Sonko..
Wanawake wanatumia mdomo kukudhohofisha ila ukiwa na misimamo mikali na kujiamini anakupa heshima bure kabisa na atatafuta njia za kistaarabu za kukutunuku kitumbua chake ukinyandue bure
 
Wapotezee tu maneno hayauwi, hayalishi,
Kijana wangu,, sijawanyamazisha but nataka wajue cha kuongea sio wakipiga stori zikaisha wanaanza roho za uchawi
Oyaa inauma kisenge hii issue sijui ndio huwa wanatumia mbinu nyingine ili urudi kuwaprove wrong ili lao litimie sielewi!!
 
Wanawake wanatumia mdomo kukudhohofisha ila ukiwa na misimamo mikali na kujiamini anakupa heshima bure kabisa na atatafuta njia za kistaarabu za kukutunuku kitumbua chake ukinyandue bure
Which means she isn't done with you??
Yaani mpaka la kwao litimie tu..
Kwanini wasi-giveup wakamoveon na issue zao kwan lazima attention zao ziendelee kukumonitor?
 
Back
Top Bottom