Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Mimi mwanaume bro, ngoja tuone wadada wanasemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwanaume bro, ngoja tuone wadada wanasemaje
Deal? Mi sio mtu wa madeal bana..Una deal gani bro
Mbona hujatajwa? Unawashwa na nini bibiye.Kwani tumekufanya nini mkuu?!🥴
Pdidy ni nani kati yenu?Deal? Mi sio mtu wa madeal bana..
Mi mtu wa biashara aisee..
Usipende sana kuwa negative mkuu!!Pdidy ni nani kati yenu?
Mkuu hofu sasa hivi imetanda vibaya mno.Usipende sana kuwa negative mkuu!!
Hata kwenye mazingira yaliyojaa positivity..
Mitandao hukutanisha watu kwaminajili mbali mbali sio mahusiano tu..
So kuwa tofauti kidogo na jinsia ya kike maana manzi unaweza kumuita ili umuulize hata njia ya mzee mwalubadu kenyewe kakatanguliza kujiprotect tu
Vinawazaga kuliwa tu..
Usiwe na mentality ya hivyo mkuu plz.
Ni asilimia 3 tu ya matatizo yaliyopo hapa duniani ila 97 iliyobaki ni usalama na wemaMkuu hofu sasa hivi imetanda vibaya mno.
Well said!Ni asilimia 3 tu ya matatizo yaliyopo hapa duniani ila 97 iliyobaki ni usalama na wema
So sioni sababu ya kuwa brainwashed kuwa dunia imejaa hofu na uovu..
Haiko juu kiasi hicho mnavyoioverrate..
Stay positive for good sio kuwa na mawazo ya ajabu ajabu..
Tofauti ni moja tu
Kwasasa hata wanyoa viduku wanashika kamera na kurekodi matukio..
Haijalishi ni kamera ama simu huo ndio utofauti tu..
Namtumbo huwezi kosa demuNipo namtumbo mkuu
Sasa mkuu kama huna pesa utamtengenezeaje mazingira ya wewe kupiga mzigo kwasababu hata meet yenu inahitaji pesa, sehemu ya kupiga mzigo pesa pia utatoa, kuna shida pia za dharura za .manzi utampa mapumbu yako?Kijana wangu kumbe mimi nakufundusha kujiamini daily tena wewe unalisha wengine matango pori??
Nani kakufundisha hii kuwa kama huna pesa usitongoze wanawake??
Ukiwa na kipesa kiduchu mfukoni ujue kukibalance tu ili ule pisi kali bana acha
Kuharibu misingi ya kiumeni..
Money doesnt f*ck women rather you D*ck..
Hakikisha Muumba kakujaalia 6+" na nguvu zake aisee!! Narudia tena aisee huyo mwanamke unaemuona maofisini kang'aa anatafuta tu pesa..
But ukimpata na akaikutà hii kitu unaweza kuuawa kwaajili ya wivu..
🤣🤣🤣🤣Mimi mwanaume bro, ngoja tuone wadada wanasemaje
Huu mwili ni hekalu,nguvu nitatumia kutafuta pesa
When talking about monetary values,, wengi hawajikiti kwenye hizo angles ulizozitaja..Sasa mkuu kama huna pesa utamtengenezeaje mazingira ya wewe kupiga mzigo kwasababu hata meet yenu inahitaji pesa, sehemu ya kupiga mzigo pesa pia utatoa, kuna shida pia za dharura za .manzi utampa mapumbu yako?