PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Ndo wapi huko?namtumbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo wapi huko?namtumbo
Kijana wangu kumbe mimi nakufundusha kujiamini daily tena wewe unalisha wengine matango pori??Kama huna pesa punguza shobo kwa madem utasutwa sana ni hatari
Mtwara ndani ndani mkuu.Ndo wapi huko?
Hahaha au sio?Kijana wangu kumbe mimi nakufundusha kujiamini daily tena wewe unalisha wengine matango pori??
Nani kakufundisha hii kuwa kama huna pesa usitongoze wanawake??
Ukiwa na kipesa kiduchu mfukoni ujue kukibalance tu ili ule pisi kali bana acha
Kuharibu misingi ya kiumeni..
Money doesnt f*ck women rather you D*ck..
Hakikisha Muumba kakujaalia 6+" na nguvu zake aisee!! Narudia tena aisee huyo mwanamke unaemuona maofisini kang'aa anatafuta tu pesa..
But ukimpata na akaikutà hii kitu unaweza kuuawa kwaajili ya wivu..
Eeeeh RIP mkuu unaishi shimoni 🤣🤣 hivi huko kuna pisi kali kweli?Mtwara ndani ndani mkuu.
Ni kali huku kwetu mkuu na ni tamu hatari siunafahamu utamu wa kuku wa kienyeji bro?Eeeeh RIP mkuu unaishi shimoni 🤣🤣 hivi huko kuna pisi kali kweli?
Siku ukienda huko haurudi,, kuna chura ambazo zikiugua ni mitishamba tu hazijawahi kuchomwa sindanoEeeeh RIP mkuu unaishi shimoni 🤣🤣 hivi huko kuna pisi kali kweli?
Aah ok ila kuwa makini kusutwa ni jau si unaelewa tena heshima inashukaNi kali huku kwetu mkuu na ni tamu hatari siunafahamu utamu wa kuku wa kienyeji bro?
Mmh sijaelewa hapo chura na sindanno ni nn!?Siku ukienda huko haurudi,, kuna chura ambazo zikiugua ni mitishamba tu hazijawahi kuchomwa sindano
Nadhani neno sindano na chura unavielewa..
Kusutwa ndio kufanyaje mkuu?Aah ok ila kuwa makini kusutwa ni jau si unaelewa tena heshima inashuka
Ndo hivyo kama ulivyosema kuwa mwanamke anakuambia huna hela ya kumtunza!Kusutwa ndio kufanyaje mkuu?
Ni mchina kijana wangu shida ushazoea mpaka makonzi ndio unieleweMmh sijaelewa hapo chura na sindanno ni nn!?
Mchina kivipi?Ni mchina kijana wangu shida ushazoea mpaka makonzi ndio unielewe
Kwani tumekufanya nini mkuu?!🥴
Bora anaekuambia ukweli kuliko ukamwamini akakuumizaBora yako unaambiwa hata hivyo mkuu wengine huku tunaambiwa eti mimi sio type yake kwanza sina kitu nitamlisha nini🤔🤔
Sasa kwani uongo? 🤣🤣🤣Bora yako unaambiwa hata hivyo mkuu wengine huku tunaambiwa eti mimi sio type yake kwanza sina kitu nitamlisha nini🤔🤔
Sijasema ni uongo shindikana ni kwel kabisa 😂😂Sasa kwani uongo? 🤣🤣🤣