Hivi kwanini lakini iko hivi? Wanawake mkuje huku mtuambie mnawazaga nini.

Pdidy ni nani kati yenu?
Usipende sana kuwa negative mkuu!!
Hata kwenye mazingira yaliyojaa positivity..
Mitandao hukutanisha watu kwaminajili mbali mbali sio mahusiano tu..

So kuwa tofauti kidogo na jinsia ya kike maana manzi unaweza kumuita ili umuulize hata njia ya mzee mwalubadu kenyewe kakatanguliza kujiprotect tu
Vinawazaga kuliwa tu..

Usiwe na mentality ya hivyo mkuu plz.
 
Mkuu hofu sasa hivi imetanda vibaya mno.
 
Mkuu hofu sasa hivi imetanda vibaya mno.
Ni asilimia 3 tu ya matatizo yaliyopo hapa duniani ila 97 iliyobaki ni usalama na wema
So sioni sababu ya kuwa brainwashed kuwa dunia imejaa hofu na uovu..

Haiko juu kiasi hicho mnavyoioverrate..

Stay positive for good sio kuwa na mawazo ya ajabu ajabu..
Tofauti ni moja tu
Kwasasa hata wanyoa viduku wanashika kamera na kurekodi matukio..
Haijalishi ni kamera ama simu huo ndio utofauti tu..
 
Well said!
 
Unahangaika kuwaelewa wanawake utapata tabu Sana bro
 
Sasa mkuu kama huna pesa utamtengenezeaje mazingira ya wewe kupiga mzigo kwasababu hata meet yenu inahitaji pesa, sehemu ya kupiga mzigo pesa pia utatoa, kuna shida pia za dharura za .manzi utampa mapumbu yako?
 
Sasa mkuu kama huna pesa utamtengenezeaje mazingira ya wewe kupiga mzigo kwasababu hata meet yenu inahitaji pesa, sehemu ya kupiga mzigo pesa pia utatoa, kuna shida pia za dharura za .manzi utampa mapumbu yako?
When talking about monetary values,, wengi hawajikiti kwenye hizo angles ulizozitaja..
Kwanini mnaact like hao viumbe sio watu??

Manzi aje gheto apike ulichonunua mle pamoja ujue upishi wake..
Shida mnaishi kisela mavi na hao wanawake ndio maana wanawachukulia mazopilo!!
Acheni usela nondo mazee..
Wewe unakula napumbu yako kwani?
Kwanini usijijenge nae umjenge muwe pamoja
Unashindwa kununua jogoo la 20k kilo ya maharage na mchele kilo tatu na viungo vyake?
Mkachil magetoni for three days?
Kama pesa ya pato la kwanza huna basi wewe ni wa kujitathmini sana..
In my early 20's nilikuwa na jeuri ya kuishi na familia na kuihandle kwa kila kitu ambacho ni basic need..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…