Hivi kwanini mabinti wanachuo walozaliwa 1996-2003 wanafanya sana ngono for leisure?

Hivi kwanini mabinti wanachuo walozaliwa 1996-2003 wanafanya sana ngono for leisure?

Msiwasimange, ni wakati wao, umri wao unawaruhusu kufanya hayo, muda ukisogea akili zitakomaa na kutulia.... kama na wewe uliruka hiyo stage basi jiandae kua mtu mzima hovyo, maana itarudi tu.
Kwa hiyo sisi tuliotulia enzi hizo tutakuwa wazee wa hovyo mkuu? Na wale waliotumia umri huo kuzichapa watatulia? Hii sayansi huwa siielewi.
 
Kwa hiyo sisi tuliotulia enzi hizo tutakuwa wazee wa hovyo mkuu? Na wale waliotumia umri huo kuzichapa watatulia? Hii sayansi huwa siielewi.
Ndio kama enzi za foolish age ulitulia basi lazima kuna muda utacharuka tu na ni muda mbaya maana kila mtu atakushangaa ila itakua kwa kipindi kifupi.... na wale waliocharuka kwenye umri sahihi, kama walivuka salama basi hutulia jumla...hua ipo hivyo hata mie sijui kwanini
 
Msiwasimange, ni wakati wao, umri wao unawaruhusu kufanya hayo, muda ukisogea akili zitakomaa na kutulia.... kama na wewe uliruka hiyo stage basi jiandae kua mtu mzima hovyo, maana itarudi tu.
Hakuna Cha dunia kuwa Kijiji Bali ni WAZAZI NA WALEZI , unakuta Mzazi "anamwita mtoto mdogo Mala#a mkubwa wewe na utanyanduliwa bila kupewa chochote "
Awo ndio mama zetu wa mtaani 😪😪😪??
 
Braza wacha watumie nyuchi zao, kwani Mechi ni Mazoezi


Nipo jirani kabisa hapa na chuo cha TIA Kurasini, Oyaaaaaa🤣🤣🤣🤣
 
Na kweli vinalika sana yani hata haviwazi wala nini unavyoenda ndo kinavyokupokea unaweza kukiendea hapohapo kishajua lengo lako na hata maumbile yako ndan yalivyo kinaweza imagine kulingana na list ambayo kimekutana nayo ila mwisho wa yote time will tell na kingne nawashauri vikijilengesha tuvitumie tu maana ni vingi mno tuvipe support 😀😀
 
Kuna kamoja nilikutana nako ka 2002
Tayari kameacha chuo sijui shule
Kakaolewa ndoa ya serikali
Kana mtoto
Ndoa imeshavunjika kanafatilia talaka na mtoto wake mgongoni
Nilikaonea huruma sana
Sijui Wana haraka ya nini hawa watoto.
 
Back
Top Bottom