Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hii kada ya utaalam ambayo ni muhimu sana kwenye ujenzi wa taifa naona bado wengi wao hawajielewi.
Yaani kazi ya kufanya siku moja tu naukamaliza yeye anaifanya wiki nzima.
Kwao muda sio mali tena.
Kuamka kazini tu anaingia saa tatu.
Je kwa mtindo huu tutamsaidia Rais Dr Samia kuinua uchumi wa taifa?
Shida ni nini hasa kwa hawa wataalam?
Yaani kazi ya kufanya siku moja tu naukamaliza yeye anaifanya wiki nzima.
Kwao muda sio mali tena.
Kuamka kazini tu anaingia saa tatu.
Je kwa mtindo huu tutamsaidia Rais Dr Samia kuinua uchumi wa taifa?
Shida ni nini hasa kwa hawa wataalam?