Hivi kwanini Mafundi Seremala wanakuwa waongo waongo na kuchelewesha Mambo?

Hivi kwanini Mafundi Seremala wanakuwa waongo waongo na kuchelewesha Mambo?

Fundi nguo anaweza ata akajiongopea yy mwenyewe...akajipiga kalenda..


Mimi huwa nafanya hv...kama nguo ntaivaa wk mbili mbele,huwa simwambii ukweli,namwambie baada ya sku 5 nguo inatakiwa ishakamilika kuna shughuli...baada kabla ya sku ya tano kufika unamstua...

Kama hajamaliza atajihimu hyo sku ya tano akamilishe,ata kama haijakamilika unampa siku mbili za ziada..


Fundi mkweli ni kinyozi...
Hehehe
 
Mtu ashinde na mapambao, misumari, nyundo siku 365 miaka 20[emoji848][emoji3]asiwe muongo thububutuuu... Kula chuma hicho
 
Wana laana ya kudumu huwa akili zao ni moja ni waongo kupitiliza.
 
Hivi kuna mtu mwongo kumzidi mwanasiasa!

Kinyozi peke yake ndiyo mkweli

Ova
 
Mafundi wapo vizuri tuache siasa bila wao nchi ingekuaje hii ,wamejenga majumba ya kifahari watu mnaishi umo ,ebu kuweni watu wa kushukuru
 
Me mwenyewe napigwa kalenda kila siku na Fundi niliempa hela ananitengenezee kabati la milango miwili. Nikienda ofisini kwake, mara ooh! Kuna kazi ya site naifanya mara subir mwisho wa mwezi huu matokeo yake yapata miezi mitatu ngoma bado mbichi


ndiyo maana mingine inapelekwa rokapu ikakojolee ndoo maana inakera sana.
 
Wakati tunawalaumu mafundi tusisahau sometimes ukipenda cheap sana lazima miyeyusho iwe mingi sometimes fundi akitaka 20000 mpe 25000 kumpa nguvu ya kufanya kazi.
 
Back
Top Bottom