Hivi kwanini Mafundi Seremala wanakuwa waongo waongo na kuchelewesha Mambo?

Hivi kwanini Mafundi Seremala wanakuwa waongo waongo na kuchelewesha Mambo?

Siyo wanakuwa waongo waongo na kuchelewesha mambo, bali ni matapeli pia.Kuna fundi nilimpaga kazi anifanyie jioni yake akahama mkoa kabisa. Mimi huwa sipendi kudaiwa hivyo nilimpa hela yote na nilijiaminisha sababu naishi karibu na ofisi yake.Aise bro kama upo humu nakuambia milima haikutani ila binadam wanakutana.
Hahaha......pole sana
 
Hii kada ya utaalam ambayo ni muhimu sana kwenye ujenzi wa taifa naona bado wengi wao hawajielewi.

Yaani kazi ya kufanya siku moja tu naukamaliza yeye anaifanya wiki nzima.
Kwao muda sio mali tena.

Kuamka kazini tu anaingia saa tatu.

Je kwa mtindo huu tutamsaidia Rais Dr Samia kuinua uchumi wa taifa?

Shida ni nini hasa kwa hawa wataalam?
Siku hizi tulisha koma kwenda kwa mafundi alamala sababu hiyo kazi wameigia wenye hela kila ukitakacho unakuta kiko tayali
 
Sekta nyingi hazijarasimishwa hivyo zimejaa wababaishaji tu, bei elekezi za vitu hakuna ilimradi tu tafrani.

Mfano mi sinunui kitu kwa machinga kabisa labda kwa emergency. Bidhaa elfu 9 mtu anaanzia elfu 20 ili msumbuane wee kuongea na kupotezeana muda 🗑️
 
Asante mkuu,narudi usiku kwenye mitungi yangu mama chanja ananiambia fundi leo kahama alafu ananiuliza tena kwani ulishampa ile hela ya kazi? Aise pombe yote iliisha manin zangu wallah[emoji41]
Hahahaa
 
Sekta nyingi hazijarasimishwa hivyo zimejaa wababaishaji tu, bei elekezi za vitu hakuna ilimradi tu tafrani.

Mfano mi sinunui kitu kwa machinga kabisa labda kwa emergency. Bidhaa elfu 9 mtu anaanzia elfu 20 ili msumbuane wee kuongea na kupotezeana muda 🗑️
Yaani nakwambia Tz hadi kichwa kinauma
 
Hapa sio mafundi selemala tu karibu mafundi wote wanamatatizo yanayo fanana pamoja na utapeli. Mwezi uliopita nilipeka kitambaa kwa fundi ili anishonee suti ya kwendea ukweni lakini ajabu siku tulikubaliana nikachukue kama wiki mbili hivi aisee sikuamini macho yangu kitambaa nilikikuta kiko vile vile yule fundi nilimupiga kichwa kimoja chali akazimia nikasepa na kitambaa changu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fundi nguo anaweza ata akajiongopea yy mwenyewe...akajipiga kalenda..


Mimi huwa nafanya hv...kama nguo ntaivaa wk mbili mbele,huwa simwambii ukweli,namwambie baada ya sku 5 nguo inatakiwa ishakamilika kuna shughuli...baada kabla ya sku ya tano kufika unamstua...

Kama hajamaliza atajihimu hyo sku ya tano akamilishe,ata kama haijakamilika unampa siku mbili za ziada..


Fundi mkweli ni kinyozi...
 
Back
Top Bottom