Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #21
Hahaha......pole sanaSiyo wanakuwa waongo waongo na kuchelewesha mambo, bali ni matapeli pia.Kuna fundi nilimpaga kazi anifanyie jioni yake akahama mkoa kabisa. Mimi huwa sipendi kudaiwa hivyo nilimpa hela yote na nilijiaminisha sababu naishi karibu na ofisi yake.Aise bro kama upo humu nakuambia milima haikutani ila binadam wanakutana.
Siku hizi tulisha koma kwenda kwa mafundi alamala sababu hiyo kazi wameigia wenye hela kila ukitakacho unakuta kiko tayaliHii kada ya utaalam ambayo ni muhimu sana kwenye ujenzi wa taifa naona bado wengi wao hawajielewi.
Yaani kazi ya kufanya siku moja tu naukamaliza yeye anaifanya wiki nzima.
Kwao muda sio mali tena.
Kuamka kazini tu anaingia saa tatu.
Je kwa mtindo huu tutamsaidia Rais Dr Samia kuinua uchumi wa taifa?
Shida ni nini hasa kwa hawa wataalam?
Asante mkuu,narudi usiku kwenye mitungi yangu mama chanja ananiambia fundi leo kahama alafu ananiuliza tena kwani ulishampa ile hela ya kazi? Aise pombe yote iliisha manin zangu wallah[emoji41]Hahaha......pole sana
HahahaaAsante mkuu,narudi usiku kwenye mitungi yangu mama chanja ananiambia fundi leo kahama alafu ananiuliza tena kwani ulishampa ile hela ya kazi? Aise pombe yote iliisha manin zangu wallah[emoji41]
Jamaa kama hawajielewi hiviKazi ngumu ile
We huwajui mafundi nguo wewe
Yaani nakwambia Tz hadi kichwa kinaumaSekta nyingi hazijarasimishwa hivyo zimejaa wababaishaji tu, bei elekezi za vitu hakuna ilimradi tu tafrani.
Mfano mi sinunui kitu kwa machinga kabisa labda kwa emergency. Bidhaa elfu 9 mtu anaanzia elfu 20 ili msumbuane wee kuongea na kupotezeana muda 🗑️
Akitaja bei ikate mara 5Sekta nyingi hazijarasimishwa hivyo zimejaa wababaishaji tu, bei elekezi za vitu hakuna ilimradi tu tafrani.
Mfano mi sinunui kitu kwa machinga kabisa labda kwa emergency. Bidhaa elfu 9 mtu anaanzia elfu 20 ili msumbuane wee kuongea na kupotezeana muda [emoji2781]
HeheeeFundi nguo mwisho wa maelezo.
Mafundi fanyeni kazi muache uzembe na utapeliUmeandika upuuzi kwa kuleta siasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa sio mafundi selemala tu karibu mafundi wote wanamatatizo yanayo fanana pamoja na utapeli. Mwezi uliopita nilipeka kitambaa kwa fundi ili anishonee suti ya kwendea ukweni lakini ajabu siku tulikubaliana nikachukue kama wiki mbili hivi aisee sikuamini macho yangu kitambaa nilikikuta kiko vile vile yule fundi nilimupiga kichwa kimoja chali akazimia nikasepa na kitambaa changu
Hii ni tabia mbaya sijui wana matatizo gani.mafundi ni waongo sana unakuta ana kazi nyingi lakini hataki kukataa wateja ni mnapangwa tu
kukataa hela ni ngumuHii ni tabia mbaya sijui wana matatizo gani.
HeheheHii ni tabia mbaya sijui wana matatizo gani.