Hivi kwanini makabila ya watu yaliyompakani/ mikoa kwa Nchi yetu wengi wako vizuri sana kichwani, majasiri, watafutaji na wasioyumbishwa?

Hivi kwanini makabila ya watu yaliyompakani/ mikoa kwa Nchi yetu wengi wako vizuri sana kichwani, majasiri, watafutaji na wasioyumbishwa?

Mbuzi mee

Senior Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
156
Reaction score
217
Chunguza mikoa yote ya mipakani utapata majibu hayo, hata uje kwenye uongozi utaona utofauti wakishika watu hawa..
 
Mara nyingi changamoto ndo huwa zinamkuza mtu ,Binaadamu Hakui katika mazingira salama,Bali Binaadamu Hukuwa mahali penye misukosuko na Changamoto
 
Kama tunduma,sababu ni mwingiliano na watu wa mataifa jiran,wanapata exposure fulan.
 
Kama Ni hivyo wahaya wasingekuwa nyuma kimaendeleo kiasi hicho
 
Back
Top Bottom