M Mbuzi mee Senior Member Joined Dec 29, 2022 Posts 156 Reaction score 217 Jun 2, 2023 #1 Chunguza mikoa yote ya mipakani utapata majibu hayo, hata uje kwenye uongozi utaona utofauti wakishika watu hawa..
Chunguza mikoa yote ya mipakani utapata majibu hayo, hata uje kwenye uongozi utaona utofauti wakishika watu hawa..
Accumen Mo JF-Expert Member Joined May 15, 2022 Posts 18,036 Reaction score 39,882 Jun 2, 2023 #2 Wadigo !π π hapa 50% ni wakenya
Baris Member Joined Feb 7, 2023 Posts 45 Reaction score 188 Jun 2, 2023 #3 Mara nyingi changamoto ndo huwa zinamkuza mtu ,Binaadamu Hakui katika mazingira salama,Bali Binaadamu Hukuwa mahali penye misukosuko na Changamoto
Mara nyingi changamoto ndo huwa zinamkuza mtu ,Binaadamu Hakui katika mazingira salama,Bali Binaadamu Hukuwa mahali penye misukosuko na Changamoto
ChoiceVariable JF-Expert Member Joined May 23, 2017 Posts 66,537 Reaction score 75,687 Jun 2, 2023 #4 Mbuzi mee said: Chunguza mikoa yote ya mipakani utapata majibu hayo,hata uje kwenye uongozi utaona utofauti wakishika watu hawa.. Click to expand... Unazaliwa na kukulia Dar utapata wapi ujasiri zaidi ya kuwa mlalamishi na mwisho wa siku choko? π€£π€£
Mbuzi mee said: Chunguza mikoa yote ya mipakani utapata majibu hayo,hata uje kwenye uongozi utaona utofauti wakishika watu hawa.. Click to expand... Unazaliwa na kukulia Dar utapata wapi ujasiri zaidi ya kuwa mlalamishi na mwisho wa siku choko? π€£π€£
Ironbutterfly JF-Expert Member Joined Feb 5, 2023 Posts 3,042 Reaction score 8,227 Jun 2, 2023 #5 Kama tunduma,sababu ni mwingiliano na watu wa mataifa jiran,wanapata exposure fulan.
edon66 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 2,907 Reaction score 9,135 Jun 2, 2023 #6 ChoiceVariable said: Unazaliwa na kukulia Dar utapata wapi ujasiri zaidi ya kuwa mlalamishi na mwisho wa siku choko? [emoji1787][emoji1787] Click to expand... Kumanishaa nn mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ChoiceVariable said: Unazaliwa na kukulia Dar utapata wapi ujasiri zaidi ya kuwa mlalamishi na mwisho wa siku choko? [emoji1787][emoji1787] Click to expand... Kumanishaa nn mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
M Mbuzi mee Senior Member Joined Dec 29, 2022 Posts 156 Reaction score 217 Jun 2, 2023 Thread starter #7 ChoiceVariable said: Unazaliwa na kukulia Dar utapata wapi ujasiri zaidi ya kuwa mlalamishi na mwisho wa siku choko? π€£π€£ Click to expand... Daahπππππ
ChoiceVariable said: Unazaliwa na kukulia Dar utapata wapi ujasiri zaidi ya kuwa mlalamishi na mwisho wa siku choko? π€£π€£ Click to expand... Daahπππππ
berylyn JF-Expert Member Joined Dec 26, 2021 Posts 877 Reaction score 2,618 Jun 2, 2023 #8 Kama Ni hivyo wahaya wasingekuwa nyuma kimaendeleo kiasi hicho