Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 584
- 767
AaahaaàaaaAisee, hawa Makolo kwanini wakishinda fujo ni nyingi town but young africans hatunaga huo ushamba,, yaani tunafanya slow but sure 🤣🤣 sisi ndio vidume sasa
Narudia tena SISI NDIO VIDUME
Tuongee fact wenye miwaxho ni kolo leo mmeku wa vizuri sana na hamu imeisha sindiyoUmeanza kuwashwa washwa sasa!
Hayo magoli tulimlipa RiversSina maneno mengi unaikumbuka hii.View attachment 2603179
🔥🔥🔥 Post na wydadSina maneno mengi unaikumbuka hii.View attachment 2603179
🤣🤣🤣Hayo magoli tulimlipa Rivers
Kinyume chakeHivi leo wameshinda?
Ndiyo wameshinda 5 kapa🤣🤣🤣Kinyume chake
Sina nnacho wadai Simba penalties hazinaga mwenyewe mzee utopolonian najua mna jikosha tu na kuibeza hii game ila najua mioyoni mwenu mnajua Simba kacheza na kajikaza.[emoji91][emoji91][emoji91] Post na wydad
Hongereni basi na karibuni NBC tenaSina nnacho wadai Simba penalties hazinaga mwenyewe mzee utopolonian najua mna jikosha tu na kuibeza hii game ila najua mioyoni mwenu mnajua Simba kacheza na kajikaza.
Sina nnacho wadai Simba penalties hazinaga mwenyewe mzee utopolonian najua mna jikosha tu na kuibeza hii game ila najua mioyoni mwenu mnajua Simba kacheza na kajikaza.
HahahahaMashabik wa simba wanavyo sema wamekufa kiume nakumbuka kuna jamaa mmoja alifumwa na mke wa mtu wahuni wakapasua spika asa wana wakawa wakimuuliza oya hawajakufanya chochote mwana anajibu wamenifir* ila kwa tabu sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina nnacho wadai Simba penalties hazinaga mwenyewe mzee utopolonian najua mna jikosha tu na kuibeza hii game ila najua mioyoni mwenu mnajua Simba kacheza na kajikaza.
Sasa kwani uongo mzeee kupambana timu imepamvana labda kama huna macho haukuona kutoka kwa penat ni kitu pekee kilicho dhihirisha kuwa Simba kapigana sana.Mashabik wa simba wanavyo sema wamekufa kiume nakumbuka kuna jamaa mmoja alifumwa na mke wa mtu wahuni wakapasua spika asa wana wakawa wakimuuliza oya hawajakufanya chochote mwana anajibu wamenifir* ila kwa tabu sana [emoji23][emoji23][emoji23]