Uchaguzi 2020 Hivi kwanini mikutano ya kampeni watu hufurika mno hasa vijana lakini ukienda vituo vya kupiga kura huwaoni

Uchaguzi 2020 Hivi kwanini mikutano ya kampeni watu hufurika mno hasa vijana lakini ukienda vituo vya kupiga kura huwaoni

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Hivi kwa nini mikutano ya kampeni watu hufurika mno hasa vijana lakini ukienda vituo vya kupiga kura huwaoni.

Yaani huo umati unaouona kwenye kampeni kama wote wangekuwa wanaenda kupiga kura vituo vya kura vingezidiwa.

Lakini hakuna ukienda vituoni unashangaa kukuta wengi ni watu wazima na vituo vingine unakuta saa sita tu mchana hamna watu wameshaisha.

Hiyo mikutano ya kampeni huwa wanafuata nini wakati Siku ya kupiga kura hawaendi.
 
Unajuwa idadi inayopangwa kwa kituo kimoja cha kura hadi useme kinazidiwa?

Wastani wa muda kupiga kura no masaa 12, hivyo hata kama katika kituo walio andikishwa wakaja mfululizo SAA 6 tuu mchana wote wanaweza kumaliza kama kila MTU atatumia dakika 1-2 kupiga kura
 
Unaharaka gani si usubiri tarehe 28 October ndipo useme hiyo hoja.
 
Hivi kwa nini mikutano ya kampeni watu hufurika mno hasa vijana lakini ukienda vituo vya kupiga kura huwaoni.

Yaani huo umati unaouona kwenye kampeni kama wote wangekuwa wanaenda kupiga kura vituo vya kura vingezidiwa.

Lakini hakuna ukienda vituoni unashangaa kukuta wengi ni watu wazima na vituo vingine unakuta saa sita tu mchana hamna watu wameshaisha.

Hiyo mikutano ya kampeni huwa wanafuata nini wakati Siku ya kupiga kura hawaendi.
Ccm itajuria maisha yote kitendo cha kuondowa siku ya kupiga kura jumapili na kuifanya kuwa jumatano, mtajuta sana.

Utakumbuka haya maandishi yangu na ukumbuke mbio za mwenge hazijafanyika mwaka huu, akili za Watanzania hazijapumbazwa na ule moto wa ushirikina.
 
Dictator is afraid of losing power to Lissu and he isn’t qualified to be president with no academic qualifications and is not a Tanzanian by birth. Dictator is Burundi origin
 
Unaharaka gani si usubiri tarehe 28 October ndipo useme hiyo hoja.
Natoa uzoefu wangu kama mpiga kura.Na tarehe 28 october na wewe utakuwa shahidi wa haya niliyoandika,Tanzania upande wa vijana kuna matatizo huwa hawaendi kupiga kura wengi
 
Mwaka huu vijana wengi wamejiandikisha...kumbuka walipata usumbufu kwenye vitambulisho vya NIDA ,hivyo walichukua vitambulisho vya Mpiga Kura kwa matumizi mengine tu,wengi wao hawakua na mpango was kupiga Kura...lakini sasa upepo umebadilika wanaweza kuvitumia kupiga kura kweli .
 
Back
Top Bottom