Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Polisi ni tabu tupuNa kwanini wakati wa Kampeni Polisi huwa wala hawaonekani kwa uwingi wao ila Siku ya Uchaguzi na katika Ngome za Wapinzani huwa ni wengi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi ni tabu tupuNa kwanini wakati wa Kampeni Polisi huwa wala hawaonekani kwa uwingi wao ila Siku ya Uchaguzi na katika Ngome za Wapinzani huwa ni wengi?
Sasa kwenye mikutano wanafuata nini kama kupiga kura wamepuuza? si wangepuuza na hiyo mikutano maana wanapigwa na jua na kunyeshewa na mvua kwenye hiyo mikutano wakati kumbe hawana hata mpango wa kuchagua kiongozi yeyote.Baada ya box la kura kinajisiwa na ccm na kuwa halitoi matokeo ya halali, wapiga kura wengi wameamua kulipuuza.
Sasa kwenye mikutano wanafuata nini kama kupiga kura wamepuuza? si wangepuuza na hiyo mikutano maana wanapigwa na jua na kunyeshewa na mvua kwenye hiyo mikutano wakati kumbe hawana hata mpango wa kuchagua kiongozi yeyote.
Kwa hiyo wewe unashabikia machafuko?Itapatikana njia nyingine ya kupata viongozi, hiyo ya kura inapotezea watu muda. Nadhani machafuko ndio njia inayorudisha heshima ya box la kura.
😅😅😅✌️✌️✌️✌️✌️✌️Kwanza ilikuwa chama fulani kimekufa, baadae ikaja hakina sera hakiwezi kupata watu kwenye kampeni, baadae ikaja hizo picha ni za 2010 na 2015, sasa imekuja kwanini wanajaa sasa hivi na siku ya kupiga kura hawataenda. Anyway yote maisha tu mkuu.
Hili swali waulize wale wa Fiesta mkuu?Sasa kwenye mikutano wanafuata nini kama kupiga kura wamepuuza? si wangepuuza na hiyo mikutano maana wanapigwa na jua na kunyeshewa na mvua kwenye hiyo mikutano wakati kumbe hawana hata mpango wa kuchagua kiongozi yeyote.
Hao wa kufanya machafuko ndio hawa wanaojazana kwenye mikutano ya ccm bila kujali jua wala mvua ambao tunaambiwa wanafuata burudani ambayo imeandaliwa na ccm?Itapatikana njia nyingine ya kupata viongozi, hiyo ya kura inapotezea watu muda. Nadhani machafuko ndio njia inayorudisha heshima ya box la kura.
Hapa ndio tunapojadili hivyo siwezi kwenda kuuliza pengine.Hili swali waulize wale wa Fiesta mkuu?
Mkuu Usiishi kwa mazoea kabisa... Kituo nilichoenda kuhakiki taarifa zangu za kupiga kura Asilimia 95 ya walioko kwenye mstari na vijana tena very young... Wazee hamna kabisa.. Wapo watu wazima WA makamo wachache tu. ...zama za kusema wanaohudhuria mikutano sio wapiga kura ilikuwa zamani si Sasa...Hivi kwa nini mikutano ya kampeni watu hufurika mno hasa vijana lakini ukienda vituo vya kupiga kura huwaoni.
Yaani huo umati unaouona kwenye kampeni kama wote wangekuwa wanaenda kupiga kura vituo vya kura vingezidiwa.
Lakini hakuna ukienda vituoni unashangaa kukuta wengi ni watu wazima na vituo vingine unakuta saa sita tu mchana hamna watu wameshaisha.
Hiyo mikutano ya kampeni huwa wanafuata nini wakati Siku ya kupiga kura hawaendi.
Mataga bana, mnahamisha magoli,Hivi kwa nini mikutano ya kampeni watu hufurika mno hasa vijana lakini ukienda vituo vya kupiga kura huwaoni.
Yaani huo umati unaouona kwenye kampeni kama wote wangekuwa wanaenda kupiga kura vituo vya kura vingezidiwa.
Lakini hakuna ukienda vituoni unashangaa kukuta wengi ni watu wazima na vituo vingine unakuta saa sita tu mchana hamna watu wameshaisha.
Hiyo mikutano ya kampeni huwa wanafuata nini wakati Siku ya kupiga kura hawaendi.
Kwa hiyo wewe unashabikia machafuko?
Mtateseka sana nyie vibaraka.Hivi kwa nini mikutano ya kampeni watu hufurika mno hasa vijana lakini ukienda vituo vya kupiga kura huwaoni.
Yaani huo umati unaouona kwenye kampeni kama wote wangekuwa wanaenda kupiga kura vituo vya kura vingezidiwa.
Lakini hakuna ukienda vituoni unashangaa kukuta wengi ni watu wazima na vituo vingine unakuta saa sita tu mchana hamna watu wameshaisha.
Hiyo mikutano ya kampeni huwa wanafuata nini wakati Siku ya kupiga kura hawaendi.
GENTAMYCINE mpiga spana [emoji3][emoji3][emoji3] we jamaa asee.Na kwanini wakati wa Kampeni Polisi huwa wala hawaonekani kwa uwingi wao ila Siku ya Uchaguzi na katika Ngome za Wapinzani huwa ni wengi?
Niambie Mkuu. Katika Soka au Kabumbu au Ndiki au Fabo Watu kama akina GENTAMYCINE tunaitwa 'Wakata Umeme / Wavuruga Mipango' pekee.GENTAMYCINE mpiga spana [emoji3][emoji3][emoji3] we jamaa asee.
Tena wengi wao wanakuwa wamevaa sare za secondary na kofia.Hivi kwa nini mikutano ya kampeni watu hufurika mno hasa vijana lakini ukienda vituo vya kupiga kura huwaoni.
Yaani huo umati unaouona kwenye kampeni kama wote wangekuwa wanaenda kupiga kura vituo vya kura vingezidiwa.
Lakini hakuna ukienda vituoni unashangaa kukuta wengi ni watu wazima na vituo vingine unakuta saa sita tu mchana hamna watu wameshaisha.
Hiyo mikutano ya kampeni huwa wanafuata nini wakati Siku ya kupiga kura hawaendi.
Mtawaonaje wakati mnaleta watoro wa shule?Hivi kwa nini mikutano ya kampeni watu hufurika mno hasa vijana lakini ukienda vituo vya kupiga kura huwaoni.
Yaani huo umati unaouona kwenye kampeni kama wote wangekuwa wanaenda kupiga kura vituo vya kura vingezidiwa.
Lakini hakuna ukienda vituoni unashangaa kukuta wengi ni watu wazima na vituo vingine unakuta saa sita tu mchana hamna watu wameshaisha.
Hiyo mikutano ya kampeni huwa wanafuata nini wakati Siku ya kupiga kura hawaendi.