Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka aendelee na biashara isiyo na faida?Hivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi Huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?
Umemjibu vizuri.Sasa waendelee ili iweje...
Hujakua...
Hata kama neema ikija , we ni second option, so akipata mwingine anakuacha. Bora usepe mapema.Omba na endelea na mawasiliano naye ya kawaida huenda kuna siku neema ikamwangwa, who knows.
Msamehe then sahau.Nilifanya kosa la kutongoza officemate akachomoa. Sikuhizi Nina kazi ya kumuwekea virus kwenye laptop na kumuibia documents Hadi akome
Alinikataa kwa dharau. Alisema wamaasa siyo bin'Adam waliokamilika. Sasa nitamuonyeshaMsamehe then sahau.
We ni bonge la mshamba na una mapepo, kwanini umpe shida mwenzako kisa kakukataa?Nilifanya kosa la kutongoza officemate akachomoa. Sikuhizi Nina kazi ya kumuwekea virus kwenye laptop na kumuibia documents Hadi akome
Cha kufanya msamehe then work on yourself ili uwe na image bora.Alinikataa kwa dharau. Alisema wamaasa siyo bin'Adam waliokamilika. Sasa nitamuonyesha
Huo ujinga binafs niliukataa,Omba na endelea na mawasiliano naye ya kawaida huenda kuna siku neema ikamwangwa, who knows.
Safi kabisaNilifanya kosa la kutongoza officemate akachomoa kwa kusema kabila langu ni la wajinga. Sikuhizi Nina kazi ya kumuwekea virus kwenye laptop na kumuibia documents Hadi akome
Kilichokuwa kinawafanya muwasiliane ni hicho cha kuwa wapenzi. Umekataa hakuna umuhimu wa mawasiliano maana hakuna cha kuongeaHivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi Huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?