Ufafanuzi zaidi:
Unajua maji yanapokuwa juu zaidi ya uso wa dunia ambako joto ni dogo sana basi huanza kuganda na kufanya density yake kuwa ndogo kuliko ya hewa iliyopo kwenye uso wa dunia. Maji hayo yakiganda huitwa mawingu ya mvua.
Sasa kwa nmna hiyo kitu chenye density ndogo huelea juu ya kitu chenye density kubwa.
hali ya hewa inapobadilika na joto kuongezeka yana yeyuka na kuyafanya kuwa kimiminika yaani haya maji unayo yajua ambayo yana density kubwa kuliko hewa ndio yenyewe hushuka chini na hewa kwenda juu yake.
Sasa ni uwiano wa tungamo(mass) na volume (ujazo). Hiyo tungamo(au mass) huusiana moja kwa moja na nguvu kani ya mvuto kuelekea kwenye uso wa dunia. na ndio maana pale ambapo nguvu kani hii ni dhaifu au haipo vitu vyote huonekana vyepesi havina uzito(weightless) na huwa vina elea tu haviendi juu wala chini.
Ni ngumu kuelezea sayansi ktk lugha yatu ya kiswahili. natumaini umenielewa kidogo.