Hivi kwanini mvua isinyeshe kuelekea juu..Badala yake inanyesha kushuka chini?

Hivi kwanini mvua isinyeshe kuelekea juu..Badala yake inanyesha kushuka chini?

Nadhani ufafanuzi zaidi umesha jibu swali lako kiasi flani na kilichobakia naendelea hapa chini.

Nimesema sababu density yake ni ndogo na joto linapo ongezeka kule juu basi mawingu (mabarafu) huyeyuka na kuwa na density kubwa kuliko hewa hivyo lazima hewa ilyopo chini yake ipande juu na yenyewe yaende chini.

Hii ndio sababu mvua hainyeshi miezi ambayo joto ni dogo ktk anga au juu ya uso wa dunia. Ukifuatilia mizunguko ya dunia ambayo ni miwili. Dunia kulizunguka jua na dunia kuzunguka yenyewe kwenye muhimili wake. Huo mzunguko wa kwanza ndio huleta majira ya mwaka na kubadilika kwa joto kwenye uso wa dunia.

Hivyo miezi ambayo joto huongezeka (zingatia hii sio jua kuwa kali) ni miezi ambayo mvua hunyesha sababu ndio mawingu huyeyuka.

Daah natamani ningekuwa mwalimu wa fizikia au jiografia lakini ndio hivyo tena sikusoma kabisa jiografia ktk elimu yangu ya upili.
Mkuu umesema hapo juu kuwa maji yanapo kuwa juu huganda coz ya baridi,na joto linapo ongezeka hayo maji huyeyuka nakuwa na density kubwa kuliko hewa na ndio mana hushuka kwasababu umesema KITU CHENYE DENSITY NDOGO HUWA JUU YA KITU CHENYE DENSITY KUBWA

SASA BASI HIVI KATI YA SOLID NA LIQUID KIPI KINA DENSITY KUBWA??
 
Mkuu umesema hapo juu kuwa maji yanapo kuwa juu huganda coz ya baridi,na joto linapo ongezeka hayo maji huyeyuka nakuwa na density kubwa kuliko hewa na ndio mana hushuka kwasababu umesema KITU CHENYE DENSITY NDOGO HUWA JUU YA KITU CHENYE DENSITY KUBWA

SASA BASI HIVI KATI YA SOLID NA LIQUID KIPI KINA DENSITY KUBWA??
Kwa haraka unaweza sema solid ni denser kuliko liquid lakini ukweli ni kuwa Density haitegemei states of matter. Density Inategemea zaidi uwiano kati ya 'mass' na 'volume'. Ndio maana Meli inaelea ingawa ina vyuma vingi.

Pia density Inategemea na packing ya particles katika matter. Vitu ambavyo packing yake ni loose vinakua na density ndogo kwa sababu volume ni kubwa lakini mass iliyokuwa occupied na hiyo volume ni ndogo. Nadhani mawingu yana loose packing ya particles ndio maana yana density ndogo kuliko air.

Hata barafu huelea juu ya maji kwa sababu ya loose parking. Kwahiyo usikariri kuwa solid matter ni lazima iwe denser kuliko liquid
 
Kwa haraka unaweza sema solid ni denser kuliko liquid lakini ukweli ni kuwa Density haitegemei states of matter. Density Inategemea zaidi uwiano kati ya 'mass' na 'volume'. Ndio maana Meli inaelea ingawa ina vyuma vingi.

Pia density Inategemea na packing ya particles katika matter. Vitu ambavyo packing yake ni loose vinakua na density ndogo kwa sababu volume ni kubwa lakini mass iliyokuwa occupied na hiyo volume ni ndogo. Nadhani mawingu yana loose packing ya particles ndio maana yana density ndogo kuliko air.

Hata barafu huelea juu ya maji kwa sababu ya loose parking. Kwahiyo usikariri kuwa solid matter ni lazima iwe denser kuliko liquid
Thanks mkuu
 
Kwa sababu ninavyofahamu kwa elimu ya shule ya msingi,Mawingu pale yalipo ni mvuke ulioganda,ambao ukijisikia unatoa mvua,tunalima na tunavuna.Sasa je,kwanini mvua ikitaka kunyesha hainyeshi kwenda juu na badala yake inanyesha kuja chini?
Likiwezekana hilo na binadamu watatembelea vichwa
 
Kwa sababu ninavyofahamu kwa elimu ya shule ya msingi,Mawingu pale yalipo ni mvuke ulioganda,ambao ukijisikia unatoa mvua,tunalima na tunavuna.Sasa je,kwanini mvua ikitaka kunyesha hainyeshi kwenda juu na badala yake inanyesha kuja chini?
unapoelekea utataka mawingu tuwe tunayakanyaga
 
Kwa sababu ninavyofahamu kwa elimu ya shule ya msingi,Mawingu pale yalipo ni mvuke ulioganda,ambao ukijisikia unatoa mvua,tunalima na tunavuna.Sasa je,kwanini mvua ikitaka kunyesha hainyeshi kwenda juu na badala yake inanyesha kuja chini?
Je mtu aliyeko South pole?Mvua inamnyeshea kwenda juu au chini?
 
Ni swali la msingi hata aliyegundua gravitational force alirusha embe juu akashangaa ni kwa nini lirudi ardhini? Hata the law of flotation, Archemedes alikua anacheza na maji kama mtoto
 
Kwa haraka unaweza sema solid ni denser kuliko liquid lakini ukweli ni kuwa Density haitegemei states of matter. Density Inategemea zaidi uwiano kati ya 'mass' na 'volume'. Ndio maana Meli inaelea ingawa ina vyuma vingi.

Pia density Inategemea na packing ya particles katika matter. Vitu ambavyo packing yake ni loose vinakua na density ndogo kwa sababu volume ni kubwa lakini mass iliyokuwa occupied na hiyo volume ni ndogo. Nadhani mawingu yana loose packing ya particles ndio maana yana density ndogo kuliko air.

Hata barafu huelea juu ya maji kwa sababu ya loose parking. Kwahiyo usikariri kuwa solid matter ni lazima iwe denser kuliko liquid
Aise..
 
Jamaa kuna kitu unajua wewe. Hebu tuanzie hapo tufungue Akili kisha tupe elimu yako
 
Back
Top Bottom