Hivi kwanini mvua isinyeshe kuelekea juu..Badala yake inanyesha kushuka chini?

Hivi kwanini mvua isinyeshe kuelekea juu..Badala yake inanyesha kushuka chini?

Haya ndio matatizo ya kutokuzingatia vizuri notes za O-level somo la geography na physics.... Mnakuja kutusumbua ukubwani huku na maswali ambayo wanatakiwa kuuliza watoto wa kindergarten!
 
Haya ndio matatizo ya kutokuzingatia vizuri notes za O-level somo la geography na physics.... Mnakuja kutusumbua ukubwani huku na maswali ambayo wanatakiwa kuuliza watoto wa kindergarten!
Mkuu mimi huko o-level sijafanikiwa kuja
 
Na kwanini moshi huwa unapanda juu na hauji chini kama ilivyo mvua??
Kwanza lazima ujue moshi umeumbwa na nini?
Moshi kwa asilimia kubwa ni molecules za carbon na kwa uchache molecule za element zingine.

Huo mchanganiko una density ndogo kuliko wa hewa iliyopo chini.

Pia moshi unakuwa ni wa joto hivyo molecule zake zimetanuka na kusababisha kuwa na density ndogo. Kumbuka kananuni ya kutanuka na kusinyaa kwa vitu.
Joto- vitu hutanuka
Baridi - vitu husinyaa

ANGALIZO maji yana tabia ya kipekee na kinyume na kanuni hizo hapo juu yanapokuwa yana pata joto hutanuka lakini yanapo kuwa baridi kuanzia sentigredi 4 na kupungua hadi negative hutanuka badala ya kusinyaa. Tunaita anomolous behaviour of water.
 
Mbona mengine hayayeyuki yanashuka kama mawe, hapo density ipi inakua kubwa?
Kuna jambo jingine lazima nilizungumzie.
Hewa juu angani inapokuwa ya joto molecule zake hutanuka na kufanya iwe na low density kwa hivyo *huenda hata barafu la mvua linakuwa na density kubwa kuliko hewa kwa wakati huo hivyo lazima lishuke chini.

Zingatia * namaanisha sina uhakika wa hiyo hoja.

Lakini pia barafu linaanza kuyeyuka kwa nje kwa hivyo density ya barafu lilio zungukwa na maji linakuwa na density kubwa kidogo kuliko a complete dry crystal ice. Haya maoni binafsi tu sina hakika kama ya mwanzo.
 
Mkuu mimi huko o-level sijafanikiwa kuja
Haya fanya mpango basi ufike....haya maswali unayouliza ni aibu kwa mtu anayejua kutumia smartphone ambayo inauwezo wa kukupa jibu la chochote utakacho chini ya jua
 
Mkuu umesema hapo juu kuwa maji yanapo kuwa juu huganda coz ya baridi,na joto linapo ongezeka hayo maji huyeyuka nakuwa na density kubwa kuliko hewa na ndio mana hushuka kwasababu umesema KITU CHENYE DENSITY NDOGO HUWA JUU YA KITU CHENYE DENSITY KUBWA

SASA BASI HIVI KATI YA SOLID NA LIQUID KIPI KINA DENSITY KUBWA??
Ukubwa wa density ya kitu haitegemei kwamba ni SOLID au LIQUID hutegemea element gani au molecule zake zina structure gani. Kama structure yake inafanya kiwe kizito ktk ujazo mdogo kinakuwa na density kubwa.

Density ni uwiano wa tungamo(mass) na ujazo(volume) wake

i.e DENSITY = MASS ÷ VOLUME

1kg ya maji ina ujazo mdogo kuliko 1kg ya mbao ndio maana mbao huelea juu ya maji ingawa maji ni liquid na mbao ni solid. Maji yana density kubwa.

Utaona Mecury ni liquid lakini ni nzito kuliko Gold ni Solid hivyo Gold huelea juu ya Mecury. Na ndio maana Mecury inatumika ktk extraction ya Gold kule migodini hasa ya wachimbaji wadogo.
 
Technically, waliopo antarctica wapo upside down ila sababu ya gtavitational force, hawatambui hilo wala kuexperience hii. Hata sisi wa Tz kwa position tuliopo ktk dunia ni kama tunatembea perpendicular kwa pembeni ila tunajiona tuko upright sababu ya hii force.
mmh sio tango pori hili
 
Back
Top Bottom