Hivi kwanini Nahreel na Aika hawapati sapoti ya kutosha Bongo ili hali wako na sound ya tofauti kuzidi wasanii wengi wa kwenye A list

Yeah, umeongea vyema mkuu, na wale huwa wanaandika vile makusudi kwasababu wanajua watzedi kwa asilimia kubwa huwa hawapendi vitu vigumu.😅
 
Kwani kwenye A list nani na nani wapo ? Nakumbuka kuna jamaa mmoja alikuwa anamhoji Tunechi akamwambia kuna list ya rapper bora imetoka akasema Jay is on number one, Wayne akasema okay, alafu akasema Drake is on number 3, Wayne akasema that's cool si unajua tena Drizzy is from YMCMB, hakuisema namba mbili sababu alimaanisha Wayne yuko namba 2, sasa ikifika wakati Wayne akauliza, who else is on the list ? Mtangazaji akasema Gucci, Wayne akauliza Eminem ? Mtangazaji akasema Eminem is not on the List, Wayne akacheka alafu akasema "Gucci is on the list and Em is not on the List? Shout out to my nigga Gucci"...
 
Tukiongea ule ukweli kabisa hawana uwezo wanafanya mziki kitajiri , kiufupi hata wanachoimba hakisikiki . Mfumo wa mziki wanaoimba ni nchi kama Jamaica ila jamaa hawana mashairi mazuri labda wakaimbie matajiri na watalii .

Unataka kusema nyimbo gani wameimba hata kiitikio kikabamba ? Kiufupi wanachanganya lugha kama sio watanzania , sikiliza ile nyimbo yao kamatia chini 😀...John makini anapiga hizo za Jamaica sana ila anaelekewa sauti inatoka kabisa ila hao wenzetu hata kiswahili hakieleweki.

Uwezo mdogo , angalia beat aliyoipiga Nahrel kwenye nyimba ya weusi ''gere'' ila bado weusi wameimba wakasikika ndani ya beat yenye nguvu ila wao binafsi na mkewe beat ikiwa juu wanatafuna maneno : Mfano kwenye kamatia chini na ile walioimba na Diamond.
 
Na inaonekana wameridhika na walipo kwa maana wanafanya muziki kama hobby na wala si kama biashara... Inabidi media zianze kuwasema waache hii tabia ili waisaidie nchi kwenye upande huo😅😅😅
Yeah media ziungane hususan kina Baba levo na Mwijaku wawaseme mpaka wajute
 
Uwezo ni mdogo wale tu pesa , ukileta uzungu bongo unaangukia mbavu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…