Yeah, umeongea vyema mkuu, na wale huwa wanaandika vile makusudi kwasababu wanajua watzedi kwa asilimia kubwa huwa hawapendi vitu vigumu.😅Nadhani masikio ya watu wengi yanafurahia vitu virahisi, mfano nyimbo za Zuchu na boss wake. Zimekaa kama nursery rhymes na zinahit na kuchuja ndani ya wiki 2. Kusema kweli binafsi zimenishinda kusikiliza lakini za hawa jamaa navy kenzo, unasikia kabisa yaliyomo yamo. Hamna tofauti kubwa na akina Patoranking
Kuanzia Alikiba, Mondi, Harmonize, Marioo na wengine wote ni MACHAWA pro max wa Chama cha KijaniNa inaonekana nchi hii wasanii wengi wa kwenye A list ni machawa wa mama😂😂
Alipo panamheshimisha kidogo na abbahIla bwana Salmin kidogo anaheshimika sasa hivi😅😅😅
Vanessa anataarifa kwamba Jux kaoa?Yess, yaan utadhani wako Atlanta.
Mwenyewe tu hajafika mbalikwa mfano "Nahreel on the beat" ingekua inaskika kwenye ngoma nyingi za wasanii wetu wanaopambana kwenda kimataifa nadhani wangefika wanapotaka kutokana na sound ya jamaa jinsi ilivyo(au nimefika mbali sana
Kamatia chini!!!Unataka kusema nyimbo gani wameimba hata kiitikio kikabamba ?
Hakuna shida zaidi ya kufunikwa kiuwezo na wenzaoAnyway, unahisi ni nini shida inayopelekea hawa jamaa wakose support kwa mtaa,
Hwasikiki kabisa , nyimbo haeleweki kabisa ni hovyo .Kamatia chini!!!
Yeah media ziungane hususan kina Baba levo na Mwijaku wawaseme mpaka wajuteNa inaonekana wameridhika na walipo kwa maana wanafanya muziki kama hobby na wala si kama biashara... Inabidi media zianze kuwasema waache hii tabia ili waisaidie nchi kwenye upande huo😅😅😅
Uwezo ni mdogo wale tu pesa , ukileta uzungu bongo unaangukia mbavu .Mimi huwa niko na kawaida ya kutengeneza playlist tofauti tofauti na kuzisikiliza wakati naendelea na kazi zangu (huwa napata utulivu wa kubaki kwenye jambo moja kwa wakati huo, kwasababu kichwa changu huwa kina shida ya kufungua mafile mengi kwa wakati mmoja hasa kikiwa kwenye utulivu wa kutokupokea mambo mapya kutoka nje, hali hii huwa inanifanya niweze kufanya vitu nusu nusu).
Sasa leo kwenye playlist yangu nimejikuta niko na ngoma kadhaa za hao jamaa wakuitwa navy kenzo, na kilichotokea ni kwamba wakati ngoma inahama kutoka kwa hawa jamaa kwenda kwenye ngoma ya msanii mwingine kuna test tofauti kabisa ambayo inatosha kusema ile ngoma iliyopita haiwezi kuwekwa kwenye mzani sawa na hii iliyoingia kutokana na ubora wa sound yake.
Yaani kuanzia kwenye midundo hadi mixing, na uimbaji wao na midundo ni kama imefungana kiasi cha kuleta test fulani ya tofauti yaani ile test ya ki-Grammy Grammy kabisa.
Kila siku tumekua tukistruggle juu ya wasanii wetu kupenya kwenye soko la kimataifa ili hali tobo la kutupeleka huko ni kama lipo wazi kabisa ila ni vile tu hatujaamua, kwa mfano "Nahreel on the beat" ingekua inaskika kwenye ngoma nyingi za wasanii wetu wanaopambana kwenda kimataifa nadhani wangefika wanapotaka kutokana na sound ya jamaa jinsi ilivyo(au nimefika mbali sana😅).
Anyway, unahisi ni nini shida inayopelekea hawa jamaa wakose support kwa mtaa, ukiachana na sababu ya kuyajenga maisha yao kwenye engo ngumu ya kutokufungamana na mambo mengi ya kijamii ikiwemo ya kisiasa (sijui kama wameshawahi kwenda Dodoma kiuoto wa asili hawa), au sound yao iko mbele ya muda sana?.
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!Hwasikiki kabisa , nyimbo haeleweki kabisa ni hovyo .
Matajiri hao mziki wanafnya kama starehe hawafanani na msanii yeyote yule wa Tanzania.Mimi naona uwezo wao ni mkubwa ila labda ni vile hawajatia Juhudi zozote kwenye muziki wao.
Nadhani wangeachana kwanza kila mtu awe na mpenzi wake ndo wangekuwa seriousNi kama hayupo serious sana labda ndio maana.