Mi nadhani nyerere hizo zingine labda halikua hazipi sign yake sababu sometime ilikua inakua ni mauwaji ya watu ambao hawafahamiki wala alie ua sio mtu anae fahamika,,,,hivo walikua hawatengenezi attention yoyote kwa taifa ambayo ingeweza kuwa positive au negative,,,,hivo mauaji ya aina hiyo wengi wao walifungwa kifungo cha maisha..
Lakn tukio hili la kuuwawa kwa mkuu wa mkoa bwana Kleruu tena kuuawa na tajiri mkubwa,,wote wanafahamika sana nchi nzima...hivo hilo jambo hilo lilitengeneza attention kubwa sana ndani na nje ya nchi huki kila mtu akisubiri kuona ni hukumu gani itafikiwa,,,
Lakn pia alie uliwa ni kiongozi mkubwa,,,,,nyerere angeteneza kitu kibaya sana kwa viongozi kutokuheshimiwa na kutokuogopwa japo hata kidogk kama angetoa hukumu nyepesi kwa huyu alie muua kiongozi.
Yote tisa kumi.......yawezekana pia ni mahakama yenyewe ndio ulio fikia huo kuafaka wa jamaa kunyongwa bila nyerere kuchangia lolote kimawazo juu ya hukumu hiyo