Hivi kwanini Prof. Janabi asiwe Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania?

Hivi kwanini Prof. Janabi asiwe Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania?

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Jamani kama kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.

Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma.

Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.

Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa.

Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mimi ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
 
Janab ni zaid ya urais unao mpigania...yupo kimkakati sana ktk nchi hii...sio wa kawaida kama unavyo mfikiria...kwanza hata huko hawazi.
 
Jana hii mbichi nilikua naongea na wanangu. Mmoja akauliza,bbaba kwanini yule mzee asiyekula chapati asipewe uwaziri wa afya?

Nikauliza mzee gani huyo Hali chapati? Mama Yao akasema JANABI.

Kumbe hata watoto wa darasa la nne wamegundua kwamba Ummy ameharibu big time.
 
aisee!
kweli mapambano yamekua makali!
hivi jenerali alisema waliokua chumba cha mgonjwa ni nani na nani?
 
Kuongoza nchi siyo mchezo!

Nadhani umetumia sababu nyepesi mno kumpendekeza awe rais.

Labda kwa tiketi ya chama kingine siyo hiki cha yellow green!

Atakuwa na ujasiri upi wa kupambana na mafisadi walioko karibia taasisi zote?

Sina hakika kama amefanikiwa kupiga vita CCD pale MNH.

Anyway anayo haki ya kuchukua fomu!
 
Hizi ndio akili za Mtanzania.. Janabi awe raisi? 😳

Nawaza tu kiutani, huyu bwana akiwa raisi sukari si itakuwa elfu 10 kwa kilo moja ili kupungunguza matimizi ya sukari kwa lazima kwa wananchi, anaweza kupitisha asubuhikifu gua kinywa ni glass moja ya maji safi, na jumamosi na jumapili ni siku rasmi za kufunga, 😂🤣
 
Back
Top Bottom