Hivi kwanini Prof. Janabi asiwe Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania?

Hivi kwanini Prof. Janabi asiwe Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania?

Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Kuongoza nchi sio jambo dogo mkuu
 
Sawa Janabi ni daktari mzuri,ila kwenye siasa NO hafai kabisa,siasa zina wenyewe...
 
Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
UKIMPA HUYO MWISHO WA SIKU ATAKWAMBIA ILI MUWE NA AKILI INABIDI KULALA SAA MOJA JIONI
 
Mbona hajaishauri serikali kuanzisha university teaching hospital Mloganzila hadi nchi Haina university teaching hospital karne hii ya science and research.
 
Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Naona ndugu zetu katika Imani mmenogewa na madaraka baada ya kuona hata yule kawa Rais.

Yaani mnataka hata na huyo mwehu awe Rais wetu? Hivi Kuna medical doctor hapa DUNIANI ni Comedian? Msituudhi tafadhali
 
Mke wake ni daktari bingwa anaweza jinunulia anachotaka kula ,
Kwa hiyo ukiwa bingwa ndio makabichi anayosema mumewake yeye hawezi kuyara?kingine bongo hii hakuna bingwa wote popoma tu bingwa ni huko ulaya.......hapa labda tulichoweza kutahiri basi.........maana ukija kwenye hizo nyingine sijui kidole turbo sijui too sijui moyo sijui mapafu bado sana tutawaachia mikasi na viwembe mpaka mkione........na nyie mnaojifanya mnataka kuongeza wowowo godoro la supa banko linawahusu
 
Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Kwani wewe huwezi kuwa Rais, ??
 
Kulikuwa na haja gani kutaja habari ya dini? Sisi watanzania ni wapumbavu sana, hatuwezi kufanya maendeleo mpaka tuhusishe udini? Ukiwa dini moja au tofauti na mtu lazima uliongelee?

Una hoja, lakini hiyo habari ya dini ni upumbavu wa hali ya juu umeutaja.
 
Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Hujaacha tuu kuongea vapour 😂😂😂😂

Mabadiliko makubwa kama yapi? Anaweza kukutoa wewe hapo ulipo kwenda wapi? Kwani uko wapi saizi? 😁😁
 
Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Inaoneka tz watu wengi bado wana undergo revolution

Sasa wewe haya unayoyaandika unayataoa wapi?

Nchi haina tatizo wala uhaba wa watu
Tatizo ni mifumo imekaa tenge

Tunahitaji kuweka mifumo sawa kwanza. then mtu yoyote anaweza kukaa pala juu
 
Back
Top Bottom