Hivi kwanini Prof. Janabi asiwe Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania?

Hivi kwanini Prof. Janabi asiwe Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania?

Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Naunga mkono hoja
 
Kwa hiyo ukiwa bingwa ndio makabichi anayosema mumewake yeye hawezi kuyara?kingine bongo hii hakuna bingwa wote popoma tu bingwa ni huko ulaya.......hapa labda tulichoweza kutahiri basi.........maana ukija kwenye hizo nyingine sijui kidole turbo sijui too sijui moyo sijui mapafu bado sana tutawaachia mikasi na viwembe mpaka mkione........na nyie mnaojifanya mnataka kuongeza wowowo godoro la supa banko linawahusu
Watu wanapasuliwa moyo unaleta ujeuri wa ulaya ukiugua tutaona ujeuri wako nyuma ya keyboard
 
Watu wanapasuliwa moyo unaleta ujeuri wa ulaya ukiugua tutaona ujeuri wako nyuma ya keyboard
Unajifanya mzalendoooo mwenyewe............wenzanko wakiumwa mbioooo si wanajua sababu kwanza watanzania sio wa kweli kwenye ufaulu pili watu hawako siriazi tatu utarekodiwa theatre uje kuwa connection kwa wana ...........huoni the late ja- KAYA alienda kufanyiwa tezi dume mbelee kwani hapa wataalamuna hakuna??????? Shituka wewe ngosha.....muwacheleweshee bum mpaka wakajiuze harafu urete umama wako walahi nakusahaulia mkasi au kiwembe makusudi tumboni
 
Ebu acha zako,

Yaani unataka tuanze kula chakula kwa kujificha.......! Bangi tujifiche na chakula Tena.

Sababu huyo jamaa suala la Milo mitatu kwa siku itakuwa uhujumu uchumi.
 
Jamani kama kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.

Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma.

Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.

Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa.

Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mimi ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Humjui tu jamaa. Sidhani kama yeye ndiye chanzo cha mabadiliko unayoyaona MNH, bali amekuta kazi zimefanywa na watangulizi wake akina Prof Museru, Dr Njelekela nk. Watangulizi wake hawakuwa watu wa PROMO bali kazi tu.

Kitu pekee kafanya Dr Janabi ni kupiga rangi majengo, kuweka pavement blocks na kuanzisha parking system ya kulipia

Kazi ya kuanzisha JKCI ni ya Dr Njelekela na Dr Richard Mvungi. Na kwa MNH aliye equip MRI, CT Scan, Theatres na ICUs 12 kwa kila ward ni Prof Lawrence Museru.

Ubora wa hospitali haupomwi kwa majengo bali kwa vifaa vya utambuzi wa magonjwa na uwapo wa madaktari bingwa.

Musidanganyike sana na hizo show off za Prof Janabi. Sanasana ni mtu mfitini katika kupata vyeo
 
1000270677.jpg
 
Naona ndugu zetu katika Imani mmenogewa na madaraka baada ya kuona hata yule kawa Rais.

Yaani mnataka hata na huyo mwehu awe Rais wetu? Hivi Kuna medical doctor hapa DUNIANI ni Comedian? Msituudhi tafadhali
Mkuu Makojo umepiga penyewe. Halafu ukipita MNH ukimkuta utajuwa naye kaenda kutibiwa kwa jinsi alivyo na afya mgogoro, kumbe ndiyo CEO wa MNH
 
Jamani kama kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.

Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma.

Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.

Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa.

Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mimi ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Nimependa hiyo JAMHURI YA WATU WA TANZANIA 😀 😀 😀
 
Janab ni zaid ya urais unao mpigania...yupo kimkakati sana ktk nchi hii...sio wa kawaida kama unavyo mfikiria...kwanza hata huko hawazi.
Nikweli hawazi wafuwatiliaji wa mambo tumeona hivyo
 
Inaoneka tz watu wengi bado wana undergo revolution

Sasa wewe haya unayoyaandika unayataoa wapi?

Nchi haina tatizo wala uhaba wa watu
Tatizo ni mifumo imekaa tenge

Tunahitaji kuweka mifumo sawa kwanza. then mtu yoyote anaweza kukaa pala juu
Kweli mkuu
 
Atakapo kuwa Rais ataokoa sana watu na magonjwa ya ajabu atafanya reform kubwa kwenye afya na chakula
Aendelee kufanya hivyo kwa kutoa elimu tu, lakini siyo kwa kutoa Executive Order ya anayopenda yeye kwenye maisha yetu.
 
Back
Top Bottom