Hivi kwanini serikali iliamua kuiruhusu TRA iajili yenyewe wakati idara nyingine zote za serikali ikiwemo BOT ajira zinapitia Utumishi

Hivi kwanini serikali iliamua kuiruhusu TRA iajili yenyewe wakati idara nyingine zote za serikali ikiwemo BOT ajira zinapitia Utumishi

Ustadh tongwe

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2020
Posts
717
Reaction score
1,903
Hili suala la TRA kuruhusiwa kuajili wenyewe ndio mwanzo wa kurudisha enzi zile za kujazana kabila Moja ofisini hakuna ushindani wa kupata ajira,

Aliemshauri Rais kuruhusu hili ametoa ushauri kwa maslahi yake binafsi kama BOT inapeleka utumishi kwanini wao wasipeleke.
 
Hili suala la Tra kuruhusiwa kuajili wenyewe ndio mwanzo wa kurudisha enzi zile za kujazana kabila Moja ofisini hakuna ushindani wa kupata ajira aliemshauri rais kuruhusu hili ametoa ushauri kwa maslahi yake binafsi km bot inapeleka utumishi kwann wao wasipeleke
Hivi katika mazingira yetu bado unaamini katika mazingira ya haki,mazingira ya weledi?Ikiwa bado uko huko wewe ni wakuhurumiwa,upo usemi maaruf,"survival for the fittest" ikimaanisha kuishi kwa hitaji mapambano sawa na maisha ya porini kuishi ubabe muhimu.
 
Hili suala la Tra kuruhusiwa kuajili wenyewe ndio mwanzo wa kurudisha enzi zile za kujazana kabila Moja ofisini hakuna ushindani wa kupata ajira aliemshauri rais kuruhusu hili ametoa ushauri kwa maslahi yake binafsi km bot inapeleka utumishi kwann wao wasipeleke
Hivi katika mazingira yetu bado unaamini katika mazingira ya haki,mazingira ya weledi?Ikiwa bado uko huko wewe ni wakuhurumiwa,upo usemi maaruf,"survival for the fittest" ikimaanisha kuishi kwa hitaji mapambano sawa na maisha ya porini kuishi ubabe muhimu.
 
Hili suala la Tra kuruhusiwa kuajili wenyewe ndio mwanzo wa kurudisha enzi zile za kujazana kabila Moja ofisini hakuna ushindani wa kupata ajira aliemshauri rais kuruhusu hili ametoa ushauri kwa maslahi yake binafsi km bot inapeleka utumishi kwann wao wasipeleke
Hivi katika mazingira yetu bado unaamini katika mazingira ya haki,mazingira ya weledi?Ikiwa bado uko huko wewe ni wakuhurumiwa,upo usemi maaruf,"survival for the fittest" ikimaanisha kuishi kwa hitaji mapambano sawa na maisha ya porini kuishi ubabe muhimu.
 
Hili suala la TRA kuruhusiwa kuajili wenyewe ndio mwanzo wa kurudisha enzi zile za kujazana kabila Moja ofisini hakuna ushindani wa kupata ajira,

Aliemshauri Rais kuruhusu hili ametoa ushauri kwa maslahi yake binafsi kama BOT inapeleka utumishi kwanini wao wasipeleke.
Tatizo ni rais muislamu...waislamu hawana skili ya kuongoza hata matajiri wengi wa kiislamu msingi wa utajiri wao ni ufisadi ...subiri hadi hakija Rais mkristo au mpagani ndiyo hayo unsyo sema yanaweza kufanyiwa kazi.
 
Ili wachaga wawape kazi watoto wao kiurahisi. Mm nliwahi ku apply kazi TRA licha ya kua nlikua na sifa zote lkn sikuwahi hata kuitwa kwenye usahili.
 
Back
Top Bottom