HIVI KWANINI SISI MASIKINI NI MABINGWA WA MANIPULATION??

HIVI KWANINI SISI MASIKINI NI MABINGWA WA MANIPULATION??

Kwa mazingira, aina ya watu & situation uliyozungumzia japo kwa juu juu, mi nnachoona hapa ni exploitation/taking advantage zaidi ya manipulation.

Na ukiachilia mbali kwamba kuishi kijanja janja imeshakua sehemu ya utamaduni wetu bila kujali tabaka, ni kweli kwamba UMASIKINI ni moja ya kichocheo kikuu.
 
Kwa mazingira, aina ya watu & situation uliyozungumzia japo kwa juu juu, mi nnachoona hapa ni exploitation/taking advantage zaidi ya manipulation.

Na ukiachilia mbali kwamba kuishi kijanja janja imeshakua sehemu ya utamaduni wetu bila kujali tabaka, ni kweli kwamba UMASIKINI ni moja ya kichocheo kikuu.
Ki ukweli toka niijue hii kitu, sijui nawa onaje watu.
Yaani mtu afanye vyote, Ila using it against me ni worse mistake.
 
Back
Top Bottom