Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Kwa mazingira, aina ya watu & situation uliyozungumzia japo kwa juu juu, mi nnachoona hapa ni exploitation/taking advantage zaidi ya manipulation.
Na ukiachilia mbali kwamba kuishi kijanja janja imeshakua sehemu ya utamaduni wetu bila kujali tabaka, ni kweli kwamba UMASIKINI ni moja ya kichocheo kikuu.
Na ukiachilia mbali kwamba kuishi kijanja janja imeshakua sehemu ya utamaduni wetu bila kujali tabaka, ni kweli kwamba UMASIKINI ni moja ya kichocheo kikuu.