tatizo la CHADEMA wana jina zuri, ila nembo haina msaada kwa taifa na jamii. mbaya zaidi wamejikita kwenye kuwapa kipaumbele vijana waliolukwa na akili. ni kama vile vijana wenye njaa wanaofanya kazi kwa malipo kwenye chama chao.
wasipoangalia kwenye safu nzima ya uongozi wa chadema hawatakua na vijana wenye busara na hoja zenye tija kwa taifa. watakua na vijana wa kukurupuka na kuongea chochote ili tu aonekana na wanaomlipa kufanya hivyo.
hivyo watajulikana ndani na nje kwasababu ya matukio lakini sio kwa uongozi bora.