Hivi kwanini Tanzania hakuna programmers

Hivi kwanini Tanzania hakuna programmers

Hauna internet kwa kuangalia icon ya mtandao hiyo chini kulia imepigwa 🚫️, gradle sync inaenda mtandaoni inadownload "dependencies" mbalimbali, hauwezi kufanya kazi ya Android bila mtandao so kamata bundle kwanza.

Kama unao mtandao yaanio unaweza kufungua site nyingine kwenye browser maana yake mtandao wako au Windows kuna tatizo kwa ujumla, hili sio tatizo la Android Studio ni tatizo la mtandao wako, so achana na AS fix internet yako kwanza, anza kwa kujaribu wifi source nyingine uone kama hiyo icon itaonyesha connection isiyo na matatizo. Pia ukiibonyeza nadhani itakupa diagnostics fulani.
Una maana android Studio lazima mtu uwe online unapoitumia. Hakuna mambo naweza fanya off line?
 
Hivi kwa nini Tanzania hakuna programmers.

Karibia wote wanaojiita Senior programmers hamna kitu ni copy & Paste naukienda kwenye social media accounts zao wanavyotoa ushauri kwa junior developers utadhani wanajua kumbe hamna kitu.

Hakuna project yeyote ya programmer's & Developers wa Tz iliyofika mbali.Shida nn wakuu?
Umesikia mashindano ya IT Projects ya US Embassy yanayotoa funding mpaka $250,000 kwa washindi?
 
Una maana android Studio lazima mtu uwe online unapoitumia. Hakuna mambo naweza fanya off line?
Kwa kiasi kikubwa haiwezekani, unapoanza Android project inasoma ile build.gradle file ambayo ina plugins na dependencies mbali mbali zile implementation...... hizi ni library ambazo zimeandikwa na watu wengine hazipo kwenye mashine yako so lazima ziwe downloaded pia gradle yenyewe inabidi iwe downloaded.

Sasa ikishazidownload mara ya kwanza zinakuwa saved kwenye mashine na kwa ujumla hazihitaji kuwa downloaded tena hadi utakapobadili hiyo build.gradle au ufanye clear cache.
 
Sidhani kama inakuwa hivyo, ila pia mazingira yaanchangia. Labda kizazi cha sasa ila kizazi cha hawa wa miaka 35 na kuendelea computer unakutana nayo cafe, au chuo. Mimi kwa mara ya kwanza kutumia computer ilikuwa form 2, nimekuja kumiliki ya kwangu nikiwa chuo.
But pia ni passion, kama mtu ana passion basi anaweza kuwa good programmer
Sababu ya kijinga kweli
 
Hivi kwa nini Tanzania hakuna programmers.

Karibia wote wanaojiita Senior programmers hamna kitu ni copy & Paste naukienda kwenye social media accounts zao wanavyotoa ushauri kwa junior developers utadhani wanajua kumbe hamna kitu.

Hakuna project yeyote ya programmer's & Developers wa Tz iliyofika mbali.Shida nn wakuu?
Nianze tu kwa kusema kwamba HUNA AKILI

Pia huna unacho jua kwenye Tech industry,
Unataka developer awe na project iliyo fika mbali kama wapi , kwa support ya nani, kwa miundo mbinu ipi ? Ya nchi Gani ?

Wewe umewahi saport startup ye tech ipi ambayo ilifelishwa na developer

Mataifa yote na project yoyote wanao peleka project mbele ni project manager , marketing managers , na team ya nje kabisa ya developer including government...
 
Back
Top Bottom