ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Unajua me huwa sielewi hapo kwamba kuna akili nyingine ya ziada tofauti na hii unayotakiwa kuitumia ili ukae na mke..nachojua kila mtu aliye mbele yako unatakiwa utumie akili uwe mjanja uwe mwerevu ila pia uwe mpole uwe kama njiwa pia uwe kama nyoka yaani full akili muda wote.ukifanya hivyo utaepusha shari na watu ila pia hutokaa utapeliwe maana muda wowote una wasiwasi na unajua jinsi ya kumjibu mtu..
Mimi binafsi nakaa na mwanamke kiukweli nachotumia ni upendo na sio akili labda akili huwa naitumia tu kwenye suala la fedha maana me mke wangu mbahili ukimpa hela yote akushikie siku ukitaka hata ya bia mbili tatu hakupi inakuwa shida ..so akili nayotumia ni kumpa kiasi cha fedha kumkadiria.mfano nimepata laki tano nachomwambia tumelipwa laki tatu hii hapa shika ni ya nyumbani..maana me najijua siwezi kukaa na hela so hii nyingine laki mbili ndo yangu inanilinda mtaani kunywa na kubet kdg ikiisha basi najua imeisha ila nyumbani misosi ipo kama yote. Hiyo ndo akili yangu inapotumika ila tofauti na hapo sijaona lingine kwa kweli.nachokiona ni upendo kumpa muda wako na kutosikiliza ya watu maana furaha ya ndoa yako inaanza na wewe
DR HAYA LAND ongezea neno hapo
Mimi binafsi nakaa na mwanamke kiukweli nachotumia ni upendo na sio akili labda akili huwa naitumia tu kwenye suala la fedha maana me mke wangu mbahili ukimpa hela yote akushikie siku ukitaka hata ya bia mbili tatu hakupi inakuwa shida ..so akili nayotumia ni kumpa kiasi cha fedha kumkadiria.mfano nimepata laki tano nachomwambia tumelipwa laki tatu hii hapa shika ni ya nyumbani..maana me najijua siwezi kukaa na hela so hii nyingine laki mbili ndo yangu inanilinda mtaani kunywa na kubet kdg ikiisha basi najua imeisha ila nyumbani misosi ipo kama yote. Hiyo ndo akili yangu inapotumika ila tofauti na hapo sijaona lingine kwa kweli.nachokiona ni upendo kumpa muda wako na kutosikiliza ya watu maana furaha ya ndoa yako inaanza na wewe
DR HAYA LAND ongezea neno hapo