Social maniac
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 357
- 428
Ni utoto tu, kutafuta umaarafu wa mitandaoni ambao hauna tijaSijawahi kuona mtu finyu wa mawazo kama huyu jamaa.
Yani anataka kile anachokifanya JF na wengine wakifanye?
Mwanaume amekalia maneno ya kike tu..hizo comment amezifanyia nini baada ya kuzipata?