Hivi kwanini ukienda bar na mtu wa jinsia ya tofauti(me)unapata huduma mbovu?

hujwita menega kweli??
Hapana..nisingeweza kufanya hivyo kabisa..kumshtaki Kwa manager ni mwanzo wa kumletea misukosuko kazini..sipendi kuwa sababu ya mtu kupata matatizo.

Nilimwita nikamwambia 123...nikaondoka.
Ananafasi ya kuchangua kiyafanyia kazi yakamsaidia au akayaacha yakamsaidia pia.maisha ni kuchagua
 
hawa ndozao hawabadilikagi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…